Unashangaa jk kuwa kwenye twitter...jaman nyie watu wa wapi,mbona obama yupo kwenye twitter hamumshangai...hii siyo dunia ya mwaka 47 jaman,hii ni dunia ya sayansi na teknolojia,kueeni kiakili....nakupongeza sana mheshimiwa rais kwa kuwa kwenye social networks.