cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Hii ni kutokana na watu wengi kuwa mabishoo wapandapo boda boda sasa basi hii kitu itawafaa sana maana visingizio hasa kina mama utasikia kofia lako chafu siwezi liva litaniharibia nywewe!ma bro wao husema lina chawa hilo kofia ss inakuja sheri kila mtu awe na kofia la pikipiki ili ukihitaji kuutumia unavaa ndo unaenda kupanda pikipiki japo ni ngumu lakini nina imani itawezekana tu!nawakilisha