B BABA BOMBASTIC JF-Expert Member Joined Jul 10, 2024 Posts 349 Reaction score 570 Aug 20, 2025 #1 Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Nipo mabibo makutano 0781 493401 nicheki hii tv ni yangu natumia hapa officine haina kipengele chochote
Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Nipo mabibo makutano 0781 493401 nicheki hii tv ni yangu natumia hapa officine haina kipengele chochote
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 21,854 Reaction score 27,025 Aug 20, 2025 #3 BABA BOMBASTIC said: Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Click to expand... Niletee nipo hapa kwa Mtuturi uchukue hela chap.
BABA BOMBASTIC said: Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Click to expand... Niletee nipo hapa kwa Mtuturi uchukue hela chap.
Satisfy JF-Expert Member Joined Jun 25, 2022 Posts 237 Reaction score 347 Aug 20, 2025 #4 upo wapi ndugu
J Jamaa_Mbishi JF-Expert Member Joined Jun 15, 2013 Posts 10,185 Reaction score 7,368 Aug 20, 2025 #5 BABA BOMBASTIC said: Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Click to expand... Naomba utuwekee picha yake tafadhali maana nami nimeibiwa TV yangu usiku wa kuamkia jana.
BABA BOMBASTIC said: Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Click to expand... Naomba utuwekee picha yake tafadhali maana nami nimeibiwa TV yangu usiku wa kuamkia jana.
B BABA BOMBASTIC JF-Expert Member Joined Jul 10, 2024 Posts 349 Reaction score 570 Aug 20, 2025 Thread starter #6 Satisfy said: upo wapi ndugu Click to expand... Mabibo makutano
B BABA BOMBASTIC JF-Expert Member Joined Jul 10, 2024 Posts 349 Reaction score 570 Aug 20, 2025 Thread starter #7 kababaa1 said: IPO wapi? Click to expand... Mabibo makutano
B BABA BOMBASTIC JF-Expert Member Joined Jul 10, 2024 Posts 349 Reaction score 570 Aug 20, 2025 Thread starter #8 Kadhi Mkuu 1 said: Niletee nipo hapa kwa Mtuturi uchukue hela chap. Click to expand... Ndo wapi
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 8,379 Reaction score 24,707 Aug 20, 2025 #9 Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax?
B BABA BOMBASTIC JF-Expert Member Joined Jul 10, 2024 Posts 349 Reaction score 570 Aug 20, 2025 Thread starter #10 Jamaa_Mbishi said: Naomba utuwekee picha yake tafadhali maana nami nimeibiwa TV yangu usiku wa kuamkia jana. Click to expand... Hii toffauti
Jamaa_Mbishi said: Naomba utuwekee picha yake tafadhali maana nami nimeibiwa TV yangu usiku wa kuamkia jana. Click to expand... Hii toffauti
B BABA BOMBASTIC JF-Expert Member Joined Jul 10, 2024 Posts 349 Reaction score 570 Aug 20, 2025 Thread starter #11 Xi Jinping said: Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax? Click to expand... Mwanaume Acha kebehi
Xi Jinping said: Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax? Click to expand... Mwanaume Acha kebehi
Shammy- JF-Expert Member Joined Dec 2, 2022 Posts 7,179 Reaction score 18,850 Aug 20, 2025 #12 Xi Jinping said: Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax? Click to expand... Kuna ambao hawana TV kabisa! Mshukuru mungu kwa alichokubariki kwa maana amekupa wewe akawanyina wao !
Xi Jinping said: Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax? Click to expand... Kuna ambao hawana TV kabisa! Mshukuru mungu kwa alichokubariki kwa maana amekupa wewe akawanyina wao !
2070 JF-Expert Member Joined May 9, 2019 Posts 451 Reaction score 484 Aug 20, 2025 #13 Xi Jinping said: Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax? Click to expand... Kila siku unakuja na hoja za kuwasifu wachina, Leo una wageuka watu wakiwa wanatumia bidhaa za mchina.
Xi Jinping said: Hivi kuna watu wanatumia T.V aina ya solarmax? Click to expand... Kila siku unakuja na hoja za kuwasifu wachina, Leo una wageuka watu wakiwa wanatumia bidhaa za mchina.
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 8,379 Reaction score 24,707 Aug 20, 2025 #14 2070 said: Kila siku unakuja na hoja za kuwasifu wachina, Leo una wageuka watu wakiwa wanatumia bidhaa za mchina. Click to expand... Sio kwa Solarmax ingekuwa ni Hisense, Haier, TCL, Skyworth and the likes of sawa
2070 said: Kila siku unakuja na hoja za kuwasifu wachina, Leo una wageuka watu wakiwa wanatumia bidhaa za mchina. Click to expand... Sio kwa Solarmax ingekuwa ni Hisense, Haier, TCL, Skyworth and the likes of sawa