Tv flat {screen}

Tv flat {screen}

Wapi naweza kupata tv flat nzuri na bora kwa bei ya chini.

Kama unataka basic tv pekee ingia kariakoo utapata nyingi chinese substandard kwa bei rahisi sana. Lakini kama unataka tv ya maana basi kwanza jifunze aina mbalimbali za flat tvs, jaribu kugoogle, maana inaelekea you dont have the slightest idea juu ya modern tv
 
Zanzibari hakuna jipya siku hizi.
 
Huwezi ukapata LED kwa bei ya chini,,bei ya chini ni tv zile za Analogia kitu cha Chogo.
 
LCD Flat screen ya nchi 21 kwa laki 2 na nusu.kama upo serious ni pm upate yako mpyaaaaaaa kutoka Zenji.
 
TV so far when u talk of flat screen, recommendation goes to Samsung, LG and Sony.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sema una sh ngapi kwanza, itakuwa vzuri ukinipm tujadili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom