sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Uhu nikushauri Tu.
Uwezi fikiria kuweka wifi free kwenye Masoko ya Tanzania alafu ukajidai wewe ni mwelewa kwenye Masoko waliopo masokoni waliwai kwambia wanaitaji free internet?
Unafikiria kuweka WIFI kwenye mwendokasi ni Kwa sababu upandagi mwendokasi ukashikilia mchuma, wewe!Panda alafu shikilia mchuma uone kama utaenjoy free WIFI?
Kwa kuwa chooni ndo pahala pekee nakuwa Peke yangu na pengine na kabulini Kwa kuwa nakuwa Peke yangu nakuomba MH waziri nape utuwekee free internet.
Nauliza Kwa nini viongozi hamfanyi Yale tunataka, tafadhali msiweke free WI-FI shuleni na vyuoni wekeni uko ili mwonekane mwafanya kazi.
Uwezi fikiria kuweka wifi free kwenye Masoko ya Tanzania alafu ukajidai wewe ni mwelewa kwenye Masoko waliopo masokoni waliwai kwambia wanaitaji free internet?
Unafikiria kuweka WIFI kwenye mwendokasi ni Kwa sababu upandagi mwendokasi ukashikilia mchuma, wewe!Panda alafu shikilia mchuma uone kama utaenjoy free WIFI?
Kwa kuwa chooni ndo pahala pekee nakuwa Peke yangu na pengine na kabulini Kwa kuwa nakuwa Peke yangu nakuomba MH waziri nape utuwekee free internet.
Nauliza Kwa nini viongozi hamfanyi Yale tunataka, tafadhali msiweke free WI-FI shuleni na vyuoni wekeni uko ili mwonekane mwafanya kazi.