LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,113
- 27,099
Nàanza kwa kudeclare interest. Mimi ni die hard fan wa Dar Es Salaam Young Africans na kifuatacho ndio kikosi changu bora cha wakati wote kwa wachezaji wanao/ walio wahi kucheza soka la bongo.
1. Mwameja Mohamed Mwameja sub wake Steven Nemes.
2. Kasongo Athumani ( Mdogo wake na Al Marhum Issa Athumani Mgaya )
3. Keneth Pius Mkapa sub wake Anwar Awadh, Mohamed Hussein Zimbwe Jr ( Tshabalala) na Gadiel Michael.
4. Nadir Haroub " Cannavaro"
5. George Magere Masatu sub wake Boniface Pawassa.
6. Said Mwamba Nassoro Kizota sub wake Hussein Amani Masha.
7. Simon Msuva
8. Feisal Salum Abdallah alias Fei Toto
9. Mohamed Hussein Machinga sub wake Nteze John Rungu.
10. Zamoyoni Mogellah sub wake Mbwana Sammatta.
11. Edibily Jonas Lunyamila.
Kwa kikosi hiki unadhani unaweza kuengeneza kikosi kinacho weza kukifunga kikosi changu hiki.
Tupe kikosi chako mkuu tuone kama kinaweza kufua dafu mbele ya kikosi hiki .
# Unaruhusiwa kutumia wachezaji wangu kwenye kikosi chako.
1. Mwameja Mohamed Mwameja sub wake Steven Nemes.
2. Kasongo Athumani ( Mdogo wake na Al Marhum Issa Athumani Mgaya )
3. Keneth Pius Mkapa sub wake Anwar Awadh, Mohamed Hussein Zimbwe Jr ( Tshabalala) na Gadiel Michael.
4. Nadir Haroub " Cannavaro"
5. George Magere Masatu sub wake Boniface Pawassa.
6. Said Mwamba Nassoro Kizota sub wake Hussein Amani Masha.
7. Simon Msuva
8. Feisal Salum Abdallah alias Fei Toto
9. Mohamed Hussein Machinga sub wake Nteze John Rungu.
10. Zamoyoni Mogellah sub wake Mbwana Sammatta.
11. Edibily Jonas Lunyamila.
Kwa kikosi hiki unadhani unaweza kuengeneza kikosi kinacho weza kukifunga kikosi changu hiki.
Tupe kikosi chako mkuu tuone kama kinaweza kufua dafu mbele ya kikosi hiki .
# Unaruhusiwa kutumia wachezaji wangu kwenye kikosi chako.