Tuweke rekodi sawa, Deo Mwanyika alihukumiwa kwa kukwepa kodi

Weka ushahidi wa hiyo hukumu.
 
Weka ushahidi wa hiyo hukumu.
Kakiri kosa, na sio hukumu ni agreement yake na DPP
Sina hiyo hukumu labda niutafute lakini fact ni kwamba kaachiwa baadaye ya kukiri kosa la kukwepa kulipa kodi ya serikali
 
Katiba Ni sheria mama.Lakini huyu Mwanyika alikuwa hajatiwa hatiani na mahakama.Labda hapo ndo pona yake

..amehukumiwa.

..plea deal maana yake ni kukubali makosa, kukubali kwamba una hatia.

..na plea-deal lazima iidhinishwe na hakimu na isajiliwe mahakamani.
 
Kitu kizuri ni kuwa kuna mtu kamuwekea pingamizi; kwa maana hiyo basi, Tume watatoa sababu kwa nini jina litakatwa au litaendelea kuwepo. Kikubwa hii issue inafanya watu wajiulize mara mbili kuhusu dhamira ya Magufuli ya kupambana na rushwa. Kama mtu amekiri kukwepa kodi kwa nini anachaguliwa kugombea ubunge?
 
..amehukumiwa.

..plea deal maana yake ni kukubali makosa, kukubali kwamba una hatia.

..na plea-deal lazima iidhinishwe na hakimu na isajiliwe mahakamani.
Hii Ni sawa na kumaluzana nje ya mahakama ,unprejuced settlement
 
Acha kujitoa ufahamu eti ili mradi tu uweze kutetea udhalimu wa wa serikali na chama chako! Unatoka vipi msafi wakati umeshakiri kosa?!

Ukishakiri kosa, hapo tayari una hatia, na hiyo kulipa ni kutumikia adhabu ya hatia yako!

Sio hivyo tu, hata kwa mujibu wa sheria zetu, in particular, The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Act, tena ya mwaka 2019, Ibara ya 15 (b) inasema:-
Utaona hapo sheria inasema wazi the accused agrres to plead guilty!

Na sheria hiyo inasema, hayo yote yakishafanyika, Plea Agreement inasajiriwa na mahakama!!

Sasa Mtuhumiwa anayekiri kosa anaondokaje akiwa msafi?!

Na kwa mujibu wa mleta mada, Deo Mwanyika alikiri kosa la ukwepaji kodi na ndio maana akalipishwa hicho kiwango! Na kwa mujibu wa sheria husika, unapo-plea guilty through plea bargaining, kinachofanyika ni kufutwa tu baadhi tu ya makosa au yote EXCEPT lile ulilokiri!

Na kwa mujibu wa katiba pamoja na sheria zetu, one of the greatest crime kwa Kiongozi wa Umma ni suala la ukwepaji kodi, na ndio maana, kwa mujibu wa katiba, Ibara ya 67(1)(c) inasema:-
And remember, according to sheria ya plea gargaining hapo juu, Ibara ya 194D (4) (b) inasema:-Where the court accepts a plea agreement; the agreement shall become part of the record of the court.

Na 194D (5) inasema:- Where a plea agreement entered into in accordance with sections 194A and 194B is accepted by the court, the court shall proceed to convict an accused person accordingly.

Kwa maana nyingine, hapo issue yake inakuwa tu imefanyika nje ya mahamakama but technically, anakuwa convicted!!

Remember, plea bargaining ya criminal case and not civil case.
 
..sasa kwanini na wewe usitupatie ushahidi usio na shaka ku-clear doubts tulizonazo?
Mkuu hoja zangu zipo wazi, uzi huu ulisema ameruhusiwa kugombea Ubunge ingawaje yeye ana makosa ya kutolipa kodi aliyohukumiwa na mahakama. Mimi nikauliza na kuwaambia mnafahamu maana ya plea bargain?..
Kakiri kosa, na sio hukumu ni agreement yake na DPP
Sina hiyo hukumu labda niutafute lakini fact ni kwamba kaachiwa baadaye ya kukiri kosa la kukwepa kulipa kodi ya serikali.
So, what is your point? Do you know what is being argued?

..amehukumiwa.

..plea deal maana yake ni kukubali makosa, kukubali kwamba una hatia.

..na plea-deal lazima iidhinishwe na hakimu na isajiliwe mahakamani.
..... NC

....... Unakubali kwamba una hatia, lakini hatia hiyo ni lazima iwe recorded according to the law (Plea bargain).

... Absolutely right.
 
Sheria zipo wazi na sio JPM kazi yake kuzitafsiri, mimi nilisema CCM sio wajinga wanafahamu wanavyofanya, sasa nyie kama mna ushahidi sheria zimevunjwa, si muende mahakamani mnangoja nini? Huko ndio kwenye suluhisho.

BTW nimeona CHADEMA wanalialia kutaka Diplomats wawasaidie wagombea wao walioshindwa kutimiza masharti. Sasa kama sio wendawazimu huo ni nini? Chadema si ndio walikuwa mstari wa mbele kutaka JPM asigombee kwa kutotimiza masharti? Hatukusikia kelele za hao wahamiaji? Waliwasha moto sasa hawawezi kuuzima.
 

..angalau sisi tumekuwekea sheria inavyosema.

..kwamba plea-bargain ni kukubali makosa, na kwamba mshtakiwa ana hatia.

..ila wewe mwenzetu hoja yako ni kwamba kamati ya kuu ya ccm inajua sana kuliko kila mtu kwa hivyo tusiihoji.
 
..angalau sisi tumekuwekea sheria inavyosema.

..kwamba plea-bargain ni kukubali makosa, na kwamba mshtakiwa ana hatia.

..ila wewe mwenzetu hoja yako ni kwamba kamati ya kuu ya ccm inajua sana kuliko kila mtu kwa hivyo tusiihoji.
Sasa kama huna hiyo agreement utafahamu vipi kilicho ndani? Ndio majungu yenyewe. Leta ushahidi kama huna kaa kimya.
 
Serikali hii ni ya wahalifu.. wapo tayari kufa kwa kulinda uhalifu.
Huyu ni mhalifu aliye kubuhu na alikiri hadharani kui snitch nchi, alitakiwa sio kutimuliwa kwenye kugombea ubunge tuu bali kutandikwa mawe adi afe
 
Sheria zipo wazi na sio JPM kazi yake kuzitafsiri, mimi nilisema CCM sio wajinga wanafahamu wanavyofanya, sasa nyie kama mna ushahidi sheria zimevunjwa, si muende mahakamani mnangoja nini? Huko ndio kwenye suluhisho...
Kuhusu suala la jpm ccm mlikosea kabisa kumshauri hilo liko wazi
Kuhusu kwenda mahakamani kuhusiana na uamuzi wa suala la jpm hilo haliwezekani kwa sababu decision ya tume ndiyo final
 
Angekuwa mpinzani tu tayari ashaenguliwa ila kwasababu anayesema kakomesha rushwa ndiye kamptisha basi tume macho kodo
 
Angekuwa mpinzani tu tayari ashaenguliwa ila kwasababu anayesema kakomesha rushwa ndiye kamptisha basi tume macho kodo
 
Kuhusu suala la jpm ccm mlikosea kabisa kumshauri hilo liko wazi
Kuhusu kwenda mahakamani kuhusiana na uamuzi wa suala la jpm hilo haliwezekani kwa sababu decision ya tume ndiyo final
Mkuu sasa si ukawaambie CCM maoni yako? Sheria zenyewe hufahamu umebaki kulalama tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…