FYI hakuhukumiwa kwa hiyo katiba haiingii hapo. Soma vizuri kilichoandikwa ndio sababu wakaita plea bargain. Unarekebisha mambo na unaondoka msafi mahakamani ie huna doa. (Why, kwa sababu ile kodi aliyokuwa anataka kukwepa umekubali kuilipa ie 1.5 billion). Simple as that! Kila mtu anaendelea na maisha yake na if I am not mistaken kuna period unapewa usirudie huo nchezo. Re: Kabendera saga, si na yeye alilipa na kaondoka msafi anaendelea na maisha yake bali asirudie tena. (I presume kuna kipindi wanapewa kutokurudia).
Acha kujitoa ufahamu eti ili mradi tu uweze kutetea udhalimu wa wa serikali na chama chako! Unatoka vipi msafi wakati umeshakiri kosa?!
Ukishakiri kosa, hapo tayari una hatia, na hiyo kulipa ni kutumikia adhabu ya hatia yako!
Sio hivyo tu, hata kwa mujibu wa sheria zetu, in particular, The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Act, tena ya mwaka 2019, Ibara ya 15 (b) inasema:-
“plea bargaining” means a negotiation in a criminal case between a prosecutor and the accused whereby the accused agrees to-
(a) plead guilty to a particular offence or a lesser offence or to a particular count or counts in a charge with multiple counts; or
(b) cooperate with the prosecutor in the provision of information that may lead to a discovery of other information relating to the offence or count charged, in return for concession from the prosecutor which may lead to a lenient sentence or withdrawal of other counts."
Utaona hapo sheria inasema wazi
the accused agrres to plead guilty!
Na sheria hiyo inasema, hayo yote yakishafanyika, Plea Agreement inasajiriwa na mahakama!!
Sasa Mtuhumiwa anayekiri kosa anaondokaje akiwa msafi?!
Na kwa mujibu wa mleta mada, Deo Mwanyika alikiri kosa la ukwepaji kodi na ndio maana akalipishwa hicho kiwango! Na kwa mujibu wa sheria husika, unapo-plea guilty through plea bargaining, kinachofanyika ni kufutwa tu baadhi tu ya makosa au yote EXCEPT lile ulilokiri!
Na kwa mujibu wa katiba pamoja na sheria zetu, one of the greatest crime kwa Kiongozi wa Umma ni suala la ukwepaji kodi, na ndio maana, kwa mujibu wa katiba, Ibara ya 67(1)(c) inasema:-
Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya Uchaguzi hakuwahi kutiwa hatiani katika mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali
And remember, according to sheria ya plea gargaining hapo juu, Ibara ya 194D (4) (b) inasema:-
Where the court accepts a plea agreement; the agreement shall become part of the record of the court.
Na 194D (5) inasema:- Where a plea agreement entered into in accordance with sections 194A and 194B is accepted by the court,
the court shall proceed to convict an accused person accordingly.
Kwa maana nyingine, hapo issue yake inakuwa tu imefanyika nje ya mahamakama but technically, anakuwa convicted!!
Remember, plea bargaining ya criminal case and not civil case.