Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,682
- 8,233
Weka ushahidi wa hiyo hukumu.Katiba inasema hivi ikiwa mtu ametiwa hatiani kwa kosa la kutolipa kodi ya serikali katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya uchaguzi atakuwa amekosa sifa.
Na hiyo mwanyika kwa kukubali hayo mashitaka ikiwemo la kukwepa kulipa kodi ya serikali maana yake ni kwamba ametiwa hatiani kwa kosa la kutolipa kodi ya serikali,