kimbweto
Member
- Oct 6, 2012
- 53
- 189
Ile sera ya yule babu mtia nia naona tuta apply soon, tutajiwekea ka pazia, wadukuzi wasione kabisa mlima, kisha tutajenga ngazi upande wetu ndege za wazungu zipite nyuma ya pazia ziutizame mlima,wakifika wazungu Arusha tuwaoneshe matanzanite wabebe watakavyo.
Kisha kama kawaida yetu tumlilie Muumba wetu nzige wapishe mbali waruke upande wa pili tulipoiweka pazia watafune mazao yao kama kawaida,kisha walie,kwa elimu zao wakumbushie ngumi za makabila.Ha ha ha ha kuwa Mtanzania raha sana.
Kisha kama kawaida yetu tumlilie Muumba wetu nzige wapishe mbali waruke upande wa pili tulipoiweka pazia watafune mazao yao kama kawaida,kisha walie,kwa elimu zao wakumbushie ngumi za makabila.Ha ha ha ha kuwa Mtanzania raha sana.