This is too general brother uwe makini. Mwaka jana nilifanya interviews kwa ajili ya kumpata assistant accountant ofisini kwetu. Mmoja wa candidates alikuwa ni dada aliyekuwa kwenye ajira ya mhindi. Mshahara aliokuwa analipwa na huyo mhindi ulikuwa ni mkubwa by far ukilinganisha na ule ambao tungemlipa sisi so hatukuweza kumchukua kwa kuwa budget yetu isingeweza though alikuwa the best. Biashara za wahindi ziko za aina nyingi na nyingine ni very professional.