nshimbeong'wana
Member
- Jul 29, 2014
- 27
- 5
Jaman kuna matapeli wametapakaa wanajifanya wameagiziwa na MZUNGU kununua dawa iitwayo QUARANTINE hii hupatikana viwandan viitwavyo ROYAL CHEMICALS FACTORY sera yao nikukutaka wewe msomi uongee na huyo mzungu mpange bei ya juu zaidi kulgana na uhtaji wa kiasi kikubwa kama dumu hamsin (50) zenye ujazo lita 20 kila moja.
Plan yao ule mzigo ununuliwe kias cha milion 25 ivo bac watakuomba uongee na boc wa kiwandan il muelewane naye mana wanadai gharama ya mzigo n milion 15 inayobak mpige panga.
Utapel wao wamejigawa makundi wanadai wapo morogoro usafir wao ni ndege mmoja wao anajifanya mzungu na anaongea vzur sana kizungu na wengine wanajifanya makago wake mana ya wabeba mizgo. Bos nae anajifanya kukulpa pesa kupitia a/c yako au cash huku na wewe umejifanya meneja wa hcho kiwanda na mzungu nae anataka umpe serial no. ya hzo package bac ukiomba hzo no. Meneja atakuambia utoe chako kdogo mfukon kama laki tatu na nusu naumtumie kwa njia ya mpesa haraka iwezekanavyo anadai awalipe wafunga mzigo!
Jihadharin sana na hao vjana matapel!
Plan yao ule mzigo ununuliwe kias cha milion 25 ivo bac watakuomba uongee na boc wa kiwandan il muelewane naye mana wanadai gharama ya mzigo n milion 15 inayobak mpige panga.
Utapel wao wamejigawa makundi wanadai wapo morogoro usafir wao ni ndege mmoja wao anajifanya mzungu na anaongea vzur sana kizungu na wengine wanajifanya makago wake mana ya wabeba mizgo. Bos nae anajifanya kukulpa pesa kupitia a/c yako au cash huku na wewe umejifanya meneja wa hcho kiwanda na mzungu nae anataka umpe serial no. ya hzo package bac ukiomba hzo no. Meneja atakuambia utoe chako kdogo mfukon kama laki tatu na nusu naumtumie kwa njia ya mpesa haraka iwezekanavyo anadai awalipe wafunga mzigo!
Jihadharin sana na hao vjana matapel!