MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Wakuu,
Ukweli lazima usemwe hata kama mchungu kiasi gani. Hatuwezi kujenga nchi ya kizalendo bila kuelezana ukweli. Marudio ya uchaguzi kinondoni mazingira yake ni aibu mno kwa Taifa maskini kama hili.
Laiti CCM wangependekeza mgombea mwingine walau inge make sense lakini kumrudisha Mtulia ni matusi kwa wananchi.
Wananchi wa kinondoni kwa umoja wenu watieni adabu CCM. Wanastahili adhabu, wanastahili kuoneshwa jeuri, wanastahili kushikishwa adabu.
Kinondoni toeni funzo! Si sababu ni CCM ...la hasha ....bali wamewakosea heshima ....mpelekeni Salim Mwalimu bungeni watie akili ....
MSIFANYE KOSA! NEVER!
Ukweli lazima usemwe hata kama mchungu kiasi gani. Hatuwezi kujenga nchi ya kizalendo bila kuelezana ukweli. Marudio ya uchaguzi kinondoni mazingira yake ni aibu mno kwa Taifa maskini kama hili.
Laiti CCM wangependekeza mgombea mwingine walau inge make sense lakini kumrudisha Mtulia ni matusi kwa wananchi.
Wananchi wa kinondoni kwa umoja wenu watieni adabu CCM. Wanastahili adhabu, wanastahili kuoneshwa jeuri, wanastahili kushikishwa adabu.
Kinondoni toeni funzo! Si sababu ni CCM ...la hasha ....bali wamewakosea heshima ....mpelekeni Salim Mwalimu bungeni watie akili ....
MSIFANYE KOSA! NEVER!