Nawashauri pia wasin'gan'ganie mjini, mjini unaitaji connection kubwa sana ili utoboe sio km vijijini na miji midogo.
Wengine wamekimbia fursa ndogondogo vijijini/miji midogo zinazoweza kumpa ela ya kujikimu wakakimbilia mjini kwenye mrundikano wa watu wengi sana wanaoitaji fursa. Kuna mwingine hajasoma kabisa,hakuna ajira yoyote anayoitegrmea siku za usoni ila yupo mjini amekaa tu anakwambia "one day yes" hakuna utajiri wa miujiza,
Hakuna issue unayoifanya Dar, unalala njaa, unapata ela ya pango kwa shida lakn umepan'gan'gania. Wakat kuna miji midogo zinazokuwa km Kahama na nk utaishi chumba bei chee, vyakula bei rahisi, na vibarua kibao. Ukikaa miaka kwa miaka ulizopoteza mjini utatengeneza mtaji wako utarudi dar ufungue ka kibanda cha Mpesa km unapenda uishi huko.