Yaani kuna watu hua wapo makini kufuatilia matukio, kama unamdai au kuna kitu anatakiwa akufanyie kila ukimpigia simu utasikia " si unajua tena mgomo wa madereva..." mara "...haujasikia kuna mgao mkali wa umeme.." yaani hakosi sababu wakati matukio yenyewe hayamhusu ili mradi kujitetea tu!