Ninaona kuna haja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya mazungumzo na Rais wa visiwa vya Comoro kwa madhumuni ya kuunganisha nchi hizi mbili zinazoshabihiana na kushirikiana kiutamaduni, kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Nawasilisha.
Mkuu huo sio ushauri mzuri kwani hao mabwana wakiunguna si ndio watachinjana wote hata kabla ya mwezi kuisha?! Waache tu watuonee ss watanganyika(Azania) ila kwao hao wacomoro watamalizana maana huwa hakuna mwarabu anayekubali kujishusha.
Mkuu huo sio ushauri mzuri kwani hao mabwana wakiunguna si ndio watachinjana wote hata kabla ya mwezi kuisha?! Waache tu watuonee ss watanganyika(Azania) ila kwao hao wacomoro watamalizana maana huwa hakuna mwarabu anayekubali kujishusha.
Siku nyingi mayyote wamekataa utawala wa mswahili, wamesema kwa kauli moja afadhali mkolononi mfaransa. Visiwa viwili vya Grand comore na Anjoun ambavo ni huru choka mbaya ukilingnisha na mayyotte na ndio maana battalion moja tu ya Jwtz imeweza kutuliza uasi. Majaliwa ya visiwa hivi vya Commoro makes compelling case for re colonization of a majority of African Nations. Karume was spot on when he said Uhuru zuia hatujawa tayari kujitawala.
mh!,
kaunganeni na kongo uko nd mnaoendana,
mctake kuwafisidi wakomoro,msha2malza wazanzbar,sasa mnawatafuta wakomoro,.
wanyama bwana,hamuach unyama wenu
kwani sisi hatuwezi kuishi peke yetu hadi tuungane na wengine!!!tuvunje zanzibar tubaki kama tulivyo,mbona kuna familia zina baba au mama pekee na zina survive!!!hata sisi tutasurvive bila kuungana na kaji-nchi!
mh!,
kaunganeni na kongo uko nd mnaoendana,
mctake kuwafisidi wakomoro,msha2malza wazanzbar,sasa mnawatafuta wakomoro,.
wanyama bwana,hamuach unyama wenu
mh!,
kaunganeni na kongo uko nd mnaoendana,
mctake kuwafisidi wakomoro,msha2malza wazanzbar,sasa mnawatafuta wakomoro,.
wanyama bwana,hamuach unyama wenu