Tutorial Assistant

Tutorial Assistant

laki nane au tisa una mhusu kwenda nayo nyumbani, marupurupu tee hapo

Asante mkuu Ricardo kaka. Naelekea Moshi kuanza kazi, nawashukuru wadau, hili jukwaa linasaidia sana. Kikubwa ni kuaamini. Vijana wote ambao mna GPA 3.8 pelekeni vyeti vyenu kwenye mavyuo mtapata kazi kama mimi nilivyovyafanya. Nilituma kila chuo barua na vyeti. Usisubiri watangaze
 
Asante mkuu Ricardo kaka. Naelekea Moshi kuanza kazi, nawashukuru wadau, hili jukwaa linasaidia sana. Kikubwa ni kuaamini. Vijana wote ambao mna GPA 3.8 pelekeni vyeti vyenu kwenye mavyuo mtapata kazi kama mimi nilivyovyafanya. Nilituma kila chuo barua na vyeti. Usisubiri watangaze

Toa pumba zako hapa. Mbona wakati unatuma/sambaza hujatushirikisha? Sasa unakuja hapa eti unamshukuru mungu!! Mungu hapendi ubinafsi na unafiki!
 
Toa pumba zako hapa. Mbona wakati unatuma/sambaza hujatushirikisha? Sasa unakuja hapa eti unamshukuru mungu!! Mungu hapendi ubinafsi na unafiki!

acha roho ya kenge wewe, amekwambia amepeleka barua kwenye vyuo mbali mbali na walipotaka kuajiri ndo wakamuita, wewe unakalia makende nyumbani unataka wanaume wenzako wakuitie kazi...
 
Wadau tutorial assistant katika chuo cha serikali anaanza na sh?? Kama gross?

mwaka jana tutorial assistant walikuwa wanapata 1,468,000! Sijui kwa sasa wanapataje baada ya ongezeko la mshahara la mwezi wa saba! Nenda kafanye kazi, ukipata masters utapata zaidi ya 2M
 
Toa pumba zako hapa. Mbona wakati unatuma/sambaza hujatushirikisha? Sasa unakuja hapa eti unamshukuru mungu!! Mungu hapendi ubinafsi na unafiki!

Sawa mkuu kwa kunitukana lakini ukumbuke mambo mengine tunajaribu na mwisho wa siku unafanikiwa. Usipende kutuma comment za kutukana hazijengi. Hata ningeiweka hii strategy ambayo nilianza nayo wengine kama wewe ungenitukana. Maana wengine hawapendi kuwa walimu ingawa wana GPA kuanzia 3.8 n.k
 
Wadau tutorial assistant katika chuo cha serikali anaanza na sh?? Kama gross?

Mkuu hongera sana,je Kama Mtu Ana lower second ya first degree na post graduate Ana B ya kawaida inawezekana kupata nafasi ya kuwa tutorial assistant au naweza pata chuo gani nkafundisha,hebu nipe uzoefu mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nitajribu nami kusambaza kwenye vyuo. Nina GPA 4.2 na ndoto yangu nkuwa mkufunzi siku moja. BARIKIWA KAKA, umenifungua macho
 
Back
Top Bottom