Elimu yako haijakukomboa!!na haya ndio matatizo ya vyuo vyetu!!!yanazalisha watu wa ajabu kabisa!!nadhani ni mfumo wa kifisadi uliotufikisha huku!!!haya basi kuna nafasi ya tutorial assistant katika chuo cha Niejen University,idara ya lugha,somo la kibezktan!!!Elimu iwakomboe!be specific,nimehitimu kitu fulani,sehemu fulani,nimefanya hili na lile,natafuta nafasi ya TA katika perspective fulani!!!TOFAUTI NA UFISADI HUO HAPO JUU!!!