kumekuwa na tabia za walimu kunganganiza watoto wadogo wa chekechea kubaki shule na kusoma tution.jamani hii me naona ni tamaa ya walimu kupata hela za ziada na kuendelea kushusha elimu.mtoto ana miaka 3 hadi 6 anaenda shule saa 2 anatoka saa kumi.
kumekuwa na tabia za walimu kunganganiza watoto wadogo wa chekechea kubaki shule na kusoma tution.jamani hii me naona ni tamaa ya walimu kupata hela za ziada na kuendelea kushusha elimu.mtoto ana miaka 3 hadi 6 anaenda shule saa 2 anatoka saa kumi.