Itakuwa busara tukiombea mafanikiwa kwa mawaziri alio wateua tusiwaze vibaya, tuwe namatumaini na wateule walioteuliwa wao si malaika yakitokea makosa yawe ya mahati kama ajali kazini wakati wote tuwepamoja nao natuwaombee wafanye vema kazi walizopewa kwa manufaa ya Watanzania, kuvunja Baraza la mawaziri ni aibu