Tutake tusitake, CHADEMA inastahili haya

Tutake tusitake, CHADEMA inastahili haya

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,481
Ni kweli kuwa ni chama kikuu cha upinzani lakini utadhani kiko madarakani.

Ndio chama kinachosakamwa na mamlaka iliyopo madarakani kuliko chama chochote cha siasa kwa sasa na hii imekifanya kuwa imara. Ni chama kilicho nje ya dola lakini kiukweli kina nguvu kuliko chama kilichopo madarakani. Chama kilichopo madarakani hakiwezi kusimama kama CHADEMA kama kikiwa nje ya madaraka,kitakufa mara moja.

Chadema hakina pesa kama CCM lakini kimeweza kufanya maamuzi magumu juu ya viongozi wake wa juu bila athari kubwa CCM na pesa zake haiwezi.CCM kwa kutumia mabilioni ambayo sijui inayatoa wapi imejaribu kuwanunua baadhi ya viongozi na wanachama muhimu wa Chadema ili kuiua lakin imeshindikana, Licha ya kuwa haina pesa lakini watu wanagombea kuitumikia CHADEMA.

Ina nguvu namna hii ikiwa nje ya dola,ikishika dola hakika utawala bora utakua ni wa kupigiwa mfano barani AFRICA, Kukiwa na utawala bora maendeleo na huduma za kijamii vitamiminika Tanzania Ukiona watu wanakitii chama ambacho hakiko madarakani ujue kilichopo kimewachosha.

Chadema ni imara,inaaminiwa na kupedwa ukiisema,vibaya gizani itakuambia ulichoisema ifikapo asubuhi,mkiwa wawili mkipanga njama za kuiumiza mwenzako ataenda kuiambia mipango yote, na ninakuhakikishia ukiwa peke yako ukipanga kufanya jambo baya kwa CHADEMA usiku wa giza nene kabla hakujakucha utakifahamisha cham hiki juu ya mipango yako uvu.

Sasa naamini hiki chama kimekubalika na MUNGU.
 
Kweli mkuu.Nchi lazima ikombolewe na CDM kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM.It is a matter of time.
 
Kweli mkuu.Nchi lazima ikombolewe na CDM kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM.It is a matter of time.
 
Nchi yetu inasikitisha sana,sitaki kulaumu mfumo wa elimu kama chanzo cha kuzalisha vijana wenye upeo duni wa kuchambua mambo au kuleta hoja zenye mashiko maana nitakuwa sina shukrani kwasababu elimu yangu ya awali mpaka A-level nilisomea hapa isipokuwa chuo tu ndiyo nilisomea nje,nashukuru kwa kupata fursa ya kusomea nje nimejifunza mengi sana na nimefaidika na mengi sana,muhimu nilichobahatika kujifunza kule ni kufikiri critically (critical thinking).Hii ndiyo imekuwa msingi wa mimi kupenda kuzichambua kila taarifa ninazoziona mbele yangu kwa makini,kuchambua kila tukio linalotokea mbele ya macho yangu kwa uangalifu maadam vinahusiana na masuala ya siasa kabla ya kuja na hitimisho la mawazo yangu.Ninachokiona kwenye hoja ya baadhi ya vijana wengi wawe ni wa CCM au wa CHADEMA ni kukosekana kwa critical thinking. Vijana wengi hoja zao haziakisi ule ufahamu wao wa asili (real understanding of the issues) isipokuwa kurudia rudia kauli zinazotolewa na viongozi wa juu taifa wa Vyama husika (copy and paste style).Kwa mtindo huu sina namna isipokuwa kulaumu mfumo wetu wa elimu unao-programme wanafunzi kufikiri badala ya ku-encourage critical thinking. Wanasiasa wana-capitalize on those weaknesses for their own political gains.Post ya mheshimiwa hapo juu unatoa ushuhuda wa haya niliyoya-observe.Kwatindo huu Tanzania bado tuna safari ndefu sana kama taifa.
 
Nchi yetu inasikitisha sana,sitaki kulaumu mfumo wa elimu kama chanzo cha kuzalisha vijana wenye upeo duni wa kuchambua mambo au kuleta hoja zenye mashiko maana nitakuwa sina shukrani kwasababu elimu yangu ya awali mpaka A-level nilisomea hapa isipokuwa chuo tu ndiyo nilisomea nje,nashukuru kwa kupata fursa ya kusomea nje nimejifunza mengi sana na nimefaidika na mengi sana,muhimu nilichobahatika kujifunza kule ni kufikiri critically (critical thinking).Hii ndiyo imekuwa msingi wa mimi kupenda kuzichambua kila taarifa ninazoziona mbele yangu kwa makini,kuchambua kila tukio linalotokea mbele ya macho yangu kwa uangalifu maadam vinahusiana na masuala ya siasa kabla ya kuja na hitimisho la mawazo yangu.Ninachokiona kwenye hoja ya baadhi ya vijana wengi wawe ni wa CCM au wa CHADEMA ni kukosekana kwa critical thinking. Vijana wengi hoja zao haziakisi ule ufahamu wao wa asili (real understanding of the issues) isipokuwa kurudia rudia kauli zinazotolewa na viongozi wa juu taifa wa Vyama husika (copy and paste style).Kwa mtindo huu sina namna isipokuwa kulaumu mfumo wetu wa elimu unao-programme wanafunzi kufikiri badala ya ku-encourage critical thinking. Wanasiasa wana-capitalize on those weaknesses for their own political gains.Post ya mheshimiwa hapo juu unatoa ushuhuda wa haya niliyoya-observe.Kwatindo huu Tanzania bado tuna safari ndefu sana kama taifa.
Mburukenge wewe! Unajisifu critical thinker na wakati huna lolote.
 
Nchi yetu inasikitisha sana,sitaki kulaumu mfumo wa elimu kama chanzo cha kuzalisha vijana wenye upeo duni wa kuchambua mambo au kuleta hoja zenye mashiko maana nitakuwa sina shukrani kwasababu elimu yangu ya awali mpaka A-level nilisomea hapa isipokuwa chuo tu ndiyo nilisomea nje,nashukuru kwa kupata fursa ya kusomea nje nimejifunza mengi sana na nimefaidika na mengi sana,muhimu nilichobahatika kujifunza kule ni kufikiri critically (critical thinking).Hii ndiyo imekuwa msingi wa mimi kupenda kuzichambua kila taarifa ninazoziona mbele yangu kwa makini,kuchambua kila tukio linalotokea mbele ya macho yangu kwa uangalifu maadam vinahusiana na masuala ya siasa kabla ya kuja na hitimisho la mawazo yangu.Ninachokiona kwenye hoja ya baadhi ya vijana wengi wawe ni wa CCM au wa CHADEMA ni kukosekana kwa critical thinking. Vijana wengi hoja zao haziakisi ule ufahamu wao wa asili (real understanding of the issues) isipokuwa kurudia rudia kauli zinazotolewa na viongozi wa juu taifa wa Vyama husika (copy and paste style).Kwa mtindo huu sina namna isipokuwa kulaumu mfumo wetu wa elimu unao-programme wanafunzi kufikiri badala ya ku-encourage critical thinking. Wanasiasa wana-capitalize on those weaknesses for their own political gains.Post ya mheshimiwa hapo juu unatoa ushuhuda wa haya niliyoya-observe.Kwatindo huu Tanzania bado tuna safari ndefu sana kama taifa.
Embu nipe mfano wa post/thought yako ambayo umei-present critically.
Zaidi nakuona we ni miongoni mwa wale wapuuzi wachache wenye kujifanya maprofesa au wenye masters wakati hata kuuchambua uchumi wetu kutoka kwenye formula ya darasani into reality hawawezi.
wanatabia zifuatazo....
  • Hujifanya wana mawazo makubwa na yenye maana kuliko wengine.
  • Hujifanya kujua siasa,uchumi na tamaduni za wengine wakati zake hazijui.
  • Hutoa majibu hafifu kwa hoja za wengine
  • Maisha yao yamejaa fictions.
  • Hawajui tofauti ya elimu ya darasani na reality.
  • Hawajui tofauti ya facts na illusions.
  • Hutangulia kunyoosha kidole kwa mwingine bila kujiangalia yeye kwanza kama amekamilika.
  • Hawajui problems za wengine na wala hawajishughulishi nazo kwao hawaamini ku-fail kwa mwenzie kuna negative effect kwenye success yake.


If you think you are leading and no one if following you....shituka...you are on the wrong way.
 
Mburukenge wewe! Unajisifu critical thinker na wakati huna lolote.

S.t.u.p.i.d people will always try to drag you down to their pathetic level of thinking and beat the hell out of you with experience. Sorry man!I can't go down that road you want me to,I am better than that!
 
Embu nipe mfano wa post/thought yako ambayo umei-present critically.
Zaidi nakuona we ni miongoni mwa wale wapuuzi wachache wenye kujifanya maprofesa au wenye masters wakati hata kuuchambua uchumi wetu kutoka kwenye formula ya darasani into reality hawawezi.
wanatabia zifuatazo....
  • Hujifanya wana mawazo makubwa na yenye maana kuliko wengine.
  • Hujifanya kujua siasa,uchumi na tamaduni za wengine wakati zake hazijui.
  • Hutoa majibu hafifu kwa hoja za wengine
  • Maisha yao yamejaa fictions.
  • Hawajui tofauti ya elimu ya darasani na reality.
  • Hawajui tofauti ya facts na illusions.
  • Hutangulia kunyoosha kidole kwa mwingine bila kujiangalia yeye kwanza kama amekamilika.
  • Hawajui problems za wengine na wala hawajishughulishi nazo kwao hawaamini ku-fail kwa mwenzie kuna negative effect kwenye success yake.


If you think you are leading and no one if following you....shituka...you are on the wrong way.
Mzee I am not here to brag about anything cuz I am not who you think I am.Hiki ninachokiongelea ni reality mkuu,I am good observer. Haya mambo ninayaona yanatoa taaswira isiyovutia kuhusu mwelekeo wa vijana wa taifa wa hili ambao ndio viongozi na wataalamu tegemeo wa kesho.Jaribu ku-observe hawa wanaojiita wafia vyama kutoka vyama vyote viwili vya CCM na CHADEMA na utaona ninachokisema,vijana tunapaswa kujua nini ni msimamo wetu na nini ni values/ideals zetu,Youths are for the change and change is everywhere. Sadly vijana wa Kitanzania ndiyo kwanza tunasimama upande mmoja na wanaopinga mabadiliko (mostly often wazee) kwa kutarajia fadhira,hii haiwahusu vijana waliopo CCM tu bali pia vijana waliopo CHADEMA.
 
baada ya kuiga mchakato wa katiba mpya kutoka cdm , jana tena jk kaiga sera ya cdm ya elimu bure !
 
Mzee I am not here to brag about anything cuz I am not who you think I am.Hiki ninachokiongelea ni reality mkuu,I am good observer. Haya mambo ninayaona yanatoa taaswira isiyovutia kuhusu mwelekeo wa vijana wa taifa wa hili ambao ndio viongozi na wataalamu tegemeo wa kesho.Jaribu ku-observe hawa wanaojiita wafia vyama kutoka vyama vyote viwili vya CCM na CHADEMA na utaona ninachokisema,vijana tunapaswa kujua nini ni msimamo wetu na nini ni values/ideals zetu,Youths are for the change and change is everywhere. Sadly vijana wa Kitanzania ndiyo kwanza tunasimama upande mmoja na wanaopinga mabadiliko (mostly often wazee) kwa kutarajia fadhira,hii haiwahusu vijana waliopo CCM tu bali pia vijana waliopo CHADEMA.
Mzee nakuelwa vizuri, fikra zako zime jaa udhanifu na kukatisha watu tamaa, kila kitu kuna pa kuanzia, kama chama cha kifisaid kimevuruga kila kitu mpaka fikra za watu kurudi katika nafasi ya kawaida kuna hatua...na kusema kweli mtoa hoja hapo juu ameeleza vizuri sana... kusimama na chama hiki cha kigaidi n apropaganda ina taka moyo wa chuma
 
STeknolojia,your critical thinking has ended up no where,umesema vzuri sana kwa kujifafanua ulivyosoma na jinsi vijana wasivyokuwa na uwezo wa kufikri,huja sema chochote juu ya maada mezani,don't you think your critical thinking is a "pending one?" .You must have said some thing on a subject matter so as we see how critical you are kama hautasema chochote tutamuona aliesema hayo ni makini kuliko ww, otherwise you skipped some modules of your course mkuu!
 
Nchi yetu inasikitisha sana,sitaki kulaumu mfumo wa elimu kama chanzo cha kuzalisha vijana wenye upeo duni wa kuchambua mambo au kuleta hoja zenye mashiko maana nitakuwa sina shukrani kwasababu elimu yangu ya awali mpaka A-level nilisomea hapa isipokuwa chuo tu ndiyo nilisomea nje,nashukuru kwa kupata fursa ya kusomea nje nimejifunza mengi sana na nimefaidika na mengi sana,muhimu nilichobahatika kujifunza kule ni kufikiri critically (critical thinking).Hii ndiyo imekuwa msingi wa mimi kupenda kuzichambua kila taarifa ninazoziona mbele yangu kwa makini,kuchambua kila tukio linalotokea mbele ya macho yangu kwa uangalifu maadam vinahusiana na masuala ya siasa kabla ya kuja na hitimisho la mawazo yangu.Ninachokiona kwenye hoja ya baadhi ya vijana wengi wawe ni wa CCM au wa CHADEMA ni kukosekana kwa critical thinking. Vijana wengi hoja zao haziakisi ule ufahamu wao wa asili (real understanding of the issues) isipokuwa kurudia rudia kauli zinazotolewa na viongozi wa juu taifa wa Vyama husika (copy and paste style).Kwa mtindo huu sina namna isipokuwa kulaumu mfumo wetu wa elimu unao-programme wanafunzi kufikiri badala ya ku-encourage critical thinking. Wanasiasa wana-capitalize on those weaknesses for their own political gains.Post ya mheshimiwa hapo juu unatoa ushuhuda wa haya niliyoya-observe.Kwatindo huu Tanzania bado tuna safari ndefu sana kama taifa.

Mburukenge wewe! Unajisifu critical thinker na wakati huna lolote.

wewe hapo ndiye mburukenge. mbona mwenzio kajieleza vizuri. kuna uongo upi kwenye post yake. labda kasahau tu kuongezea kuwa vijana wanakosa back-ground knowlege kuwasaidia katika hoja zao kwa sababu hawakuwepo huko nyuma wakati mazingira ambayo yamezaa matatizo yanajengwa. kwa hiyo vijana wana hasira inayoletwa na kile wanachokiona mbele yao, ambacho asili yake hawaielewi-elewi vizuri--ama kwa sababu mfumo wa elimu ni duni kwa muundo wake hauwapatii hawa vijana background wanayoihitaji kujenga hoja, ama kwa sababu hilo limefanywa makusudi.

wewe unaona mfumo wa elimu uliokaa vizuri hapa?
 
Mzee I am not here to brag about anything cuz I am not who you think I am.Hiki ninachokiongelea ni reality mkuu,I am good observer. Haya mambo ninayaona yanatoa taaswira isiyovutia kuhusu mwelekeo wa vijana wa taifa wa hili ambao ndio viongozi na wataalamu tegemeo wa kesho.Jaribu ku-observe hawa wanaojiita wafia vyama kutoka vyama vyote viwili vya CCM na CHADEMA na utaona ninachokisema,vijana tunapaswa kujua nini ni msimamo wetu na nini ni values/ideals zetu,Youths are for the change and change is everywhere. Sadly vijana wa Kitanzania ndiyo kwanza tunasimama upande mmoja na wanaopinga mabadiliko (mostly often wazee) kwa kutarajia fadhira,hii haiwahusu vijana waliopo CCM tu bali pia vijana waliopo CHADEMA.
Then give out what has to be done, i hate politics especially when it comes between hard decisions towards the nation and her people, !
If you don't give solutions instead, i call what you say "politics".
Kuhusu who you are, doesnt add a thing to what you say.
 
Back
Top Bottom