Tutafika kwa namna hii kweli?

Tutafika kwa namna hii kweli?

supermario

Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
48
Reaction score
15
Hii ni timu ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kimchezo wa soka nchini. mechi zake ni moja ya mechi zenye mapato makubwa kutokana na viingilio. ni timu ambayo inapata hela nyingi sana kutokana na mikataba ya usajili kutoka katika makampuni makubwa nchini.

Lakini hii timu na ile nyingine ya Yanga mbona haina mafanikio? Kama hii picha hapo wako katika mazoezi kweli timu kubwa kama hizi hadi leo hawana hata kauwanja ka mazoezi?
 

Attachments

  • simba.PNG
    simba.PNG
    154.1 KB · Views: 79
Back
Top Bottom