Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,487
Mwenye update yoyote kama computer ya office imeshabadilishwa au bado!!!!!
Kila mwenye akili timamu na mwenye maadili anauchukia.Sawa ila nauchukia sana ushoga
Watz sisi wanafiki sana..
Huyo mwanamke anaona kiki hili suala,
Nauliza hivi wanaume kamili wote wa jf,huyo mwanamke angekua mama yako au dada yako utajiskiaje,
Em imagine una rafiki au ndugu anapromote ushoga,
This is so sad,bahs tu nchi yangu ipo ndami ya mikataba ya kimataifa na bado tunategemea misaada,bila hvyo yangekua mengine,
Shame on you all wanaotetea!
Ex president wa znz natamani nimuulize kama yuko proud kua na daughter km huyo maybe jibu lake litanipa mwanga,
Understanding a phenomenon requires, as condition, broader notion of surrounding matters. Shangazi yenu amewaathiri kwa kuingiza kwenye mjadala wa ushoga, suala la kesi yake ya ushoga anayotetea mahakamani. Hizi zilikuwa jitihada zake za kujinusuru/kujitetea asionekane homosexuality fanatic kwenye macho ya umma. Hakuna mkataba wowote unaotetea masuala ya ushoga ambao Tanzania imeuridhia - anayepinga hili aweke mkataba huo hapa. Mwaka huu Umoja wa mataifa umeondoa haki za mashoga kuwa haki za binadamu. Hapa Tanzania kuna sheria [penal code] ya CPA inaharamisha ushoga na kutoa adhabu kali kwa offenders. Inachosema Wizara ya Mambo ya Nje hakifuti sheria husika wala ku-condone ushoga. Statement ya wizara ya mambo ya nje ni msimamo wa jumla inayofafanua, iwapo kuna upotoshaji umenafanyika, kuwa hakuna kilichobadilika (status quo) kuhusiana na obligation za taifa kwenye makubaliano ya kimataifa tuliyonayo. Ni kuondoa wasiwasi unasababishwa na misinterpretation au distortions zinazofanywa kwenye social media. .Kwahiyo Serikali Imeamua Kuunga Mkono Juhudi Za Shangazi!
Dar bila ushoga inawezekana!! Sasa sijui itakuwaje ?Napata ukakasi kuamini kuwa serikali imeridhia mikataba ya ushoga kisirisiri ila majukwaani wanapayuka kama vile sio wao.
Kwa muda mrefu wanaccm walidai vyama vya upinzani vimeridhia ushoga kwa kufadhiriwa na nchi za mashoga lakini ukifuatilia ndio hao hao wanaoitwa nchi wahisani wa maendeleo.
Makonda kaibuka na kampeni ya mashoga na wakaa kimyaaa ila baadae wameibuka na kumkana rais wa mkoa au mwakilishi wa rais.
Najiuliza kama sisi ni taifa huru tunaogopa nini? Je tumeshasaini mikataba ya mashoga kimyakimya? Na ccm wanalakujibu juu ya hili
Dont be an idiot na wewe,We uko tayari kuwa na rais na waziri wanaounga mkono ushoga? Maana kama hawako na Makonda anayepinga inamaana wanaukubali.
Bi Mkora mbona anatetea sana mapunga?
Kwa barua hii ya serikali ni dhahiri kuna mikataba tumeshaingia, na Fatuma Karume imeendelea kutikisa.View attachment 921410
Wewe ni mtakatifu ?
Kaa ukijua kwamba hakuna dhambi ndogo wala kubwa.
Serikali imesaini mikataba ya haki za binadamu siyo mikataba ya ushoga kuweni na adabu ala.
Sawa ila nauchukia sana ushoga
Wenye uelewa mpana wanamuelewa.. Ndo maana umeona tamko la leo la serikali kumkana mwenye serikali ya mkoa..
Huendi mbinguni
Dar bila shoga (Makonda) inawezekana.Dar bila ushoga inawezekana!! Sasa sijui itakuwaje ?
Kila analo jaribu kujikweza linabuumaMakonda atafute kiki nyingine, ikibidi amteke Bashite
Cc:lumumba wotewale waliokuwa wanatukana waendelee kutukana tu yajayo yanafurahisha
Wewe ni mtakatifu ?kwahiyo hata kama ww unadhambi ndio uache maovu yatendeke kisa na ww ni mkosefu..au bora kukemea huku ukimuomba mungu akunasue kwenye madhambi yako?
Kaa ukijua kwamba hakuna dhambi ndogo wala kubwa.
Wewe ni pimbi!Understanding a phenomenon requires, as condition, broader notion of surrounding matters. Shangazi yenu amewaathiri kwa kuingiza kwenye mjadala wa ushoga, suala la kesi yake ya ushoga anayotetea mahakamani. Hizi zilikuwa jitihada zake za kujinusuru/kujitetea asionekane homosexuality fanatic kwenye macho ya umma. Hakuna mkataba wowote unaotetea masuala ya ushoga ambao Tanzania imeuridhia - anayepinga hili aweke mkataba huo hapa. Mwaka huu Umoja wa mataifa umeondoa haki za mashoga kuwa haki za binadamu. Hapa Tanzania kuna sheria [penal code] ya CPA inaharamisha ushoga na kutoa adhabu kali kwa offenders. Inachosema Wizara ya Mambo ya Nje hakifuti sheria husika wala ku-condone ushoga. Statement ya wizara ya mambo ya nje ni msimamo wa jumla inayofafanua, iwapo kuna upotoshaji umenafanyika, kuwa hakuna kilichobadilika (status quo) kuhusiana na obligation za taifa kwenye makubaliano ya kimataifa tuliyonayo. Ni kuondoa wasiwasi unasababishwa na misinterpretation au distortions zinazofanywa kwenye social media. .