Tusubiri uchaguzi wa Tanganyika

Tusubiri uchaguzi wa Tanganyika

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,016
Haya tushaibiwa wana ukawa, sasa tupambane huku zanzibar maalim seif atangazwe mshindi, zanzibar ndio itakayo igomboa tanganyika, moja ya Jambo la mwanzo watakalo tekeleza cuf ukawa ni kurudisha mamlaka kamili ya Zanzibar, inamana tanganyika itarudi na kurudi kwenye meza ya mazungumzo kwa mambo ya muungano.

Wakati litakapo rudi tanganyika ukawa tuhakikishe tume huru ya uchaguzi itakayo simamia uchaguzi wa Tanganyika.
Mungu ibariki zanzibar na tanganyika
 
Umenena sahihi. Na kwa hali yoyte lazima Ccm ikubali kumtangaza Maalim Shariff kwa sababu ndiye mshindi na hakuna sababu ya matokeo kukataliwa kwa sababu NEC imesema ni kura na uchaguzi halali.
 
Seif Sharif Hamad katika wakati wake wa kupakwa mafuta..
 
It is too mathematical. Upepo wa visiwani ni shidaaa
 
Back
Top Bottom