Tusker Project Fame Vs Epic Bongo Star Search

Tusker Project Fame Vs Epic Bongo Star Search

UGOKO MKAVU

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
202
Reaction score
79
Leo nimeangalia TPF saa 2 mpaka saa 3 EATV kilipomalizika nikahamia TBC1 kutazama EBSS hakika nilichogundua ni kuwa TPF iko juu kuanzia contestants, bend, faculty mpaka judges kuliko EBSS ambako judges (hasa Madam) wanatoa comments za kinafki za kumsifia mshiriki hata kama kaimba vibaya ili mradi tu bora liende na mapungufu mengineyo.

EBSS najua huu ni mwanzo tu lakini bado mna safari ndefu sana ya kufikia kiwango kama cha TPF...ni vema mkaboresha zaidi kipindi chenu.
 
kosa kubwa walilofanya ni kuweka siku moja na TPF, matoke yake mtu akimaliza kuangalia TPF kurudi kuangalia EBSS inakuwa ngumu. washiriki wanapayuka ovyo ovyo tu, bendi ni kama kelele tu. yaani bora kuzima tv na kulala tu.
 
kosa kubwa walilofanya ni kuweka siku moja na TPF, matoke yake mtu akimaliza kuangalia TPF kurudi kuangalia EBSS inakuwa ngumu. washiriki wanapayuka ovyo ovyo tu, bendi ni kama kelele tu. yaani bora kuzima tv na kulala tu.

Kama wanafanya vibaya kwanini unawaangalia, au untafuta sababu.
 
Kama wanafanya vibaya kwanini unawaangalia, au untafuta sababu.

halafu wewe Kyenju inaonekana wakati unasoma ulikuwa mzee wa kwenda out of point (op).hapa kila mtu ana opinion yake bana. au wewe ndio madam ritha? hapa hakuna kulemba na sina haja ya kuita sped eti kijiko kikubwa, " i call a spade a spade" huo ndio ukweli ukiuma tafuta maji ya baridi unywe ili upunguze maumivu. byee!
 
Last edited by a moderator:
Tofauti ni hizi EBSS inatafuta local musician while TPF inatafuta international musician Star!

Kuongezea Tanzania hatuna music class au dance hasa shule za public, na walimu expert wa class hizi ni wachache sana! hivyo tunajikuta tuna ishia Kuimba bongo flava na taarabu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom