Kwani hao uliowataja hawatumii barabara? Kwa nini mwenye gari ndiye alipie matumizi ya barabara peke yake? Tuliangalie kwa mapana sana. Watu wana wrong conception kuwa wanaotumia barabara ni magari peke yake? Not true. Kila anayetumia barabara alipie. Nitakubali kuwa viwango vinapishana, lakini hata wa miguu anatumia barabara.. anailipiaje? Kila anayetumia msikiti alipie, kila anayetumia kanisa alipie...... the list is endless! Niko tayari kukosolewa kwa hoja!Imekuwa kawaida kwa Wabunge wa CCM kusifia na kupitisha Sheria au Budget kwa Ngovu zote,Makofi,Furaha wakitoka Bungeni wanaponda.Watanzania Tumewachoka.Kushangilia Road Licence ilipwe kwenye Mafuta wakati kuna watumia Mafuta hawatumii Magari,kama vile Wachimbaji wadogo wadogo wanatumia Diesel kuendesha mitambo yao kila siku,Mashine za Kusaga nafaka vijijini,Generator vijijini na hata mjini mda mwingine alafu bado Mbunge wa CCM Anashangilia Kasoro MSUKUMA NA WENGINE WACHACHE.
CCM shutuken uchaguzi si mbali Watanzania wa sasa si Wadanganywa tena.
Kwani hao uliowataja hawatumii barabara? Kwa nini mwenye gari ndiye alipie matumizi ya barabara peke yake? Tuliangalie kwa mapana sana. Watu wana wrong conception kuwa wanaotumia barabara ni magari peke yake? Not true. Kila anayetumia barabara alipie. Nitakubali kuwa viwango vinapishana, lakini hata wa miguu anatumia barabara.. anailipiaje? Kila anayetumia msikiti alipie, kila anayetumia kanisa alipie...... the list is endless! Niko tayari kukosolewa kwa hoja!
Ishu ni kuwa hatumii barabara? This is my concern, kama anatumia barabara, alipie! Labda kama kulipia kumiliki gari, hapo kweli hausiki, lakini kama matumizi ya barabara, siyo magari peke yake. Hata mashini ya kusaga kama inatumia barabara katika kuihudumia ili iweze kusaga, basi alipie!mkuu fikiri kwa mapana
mchine ya kusaga iko kijiji....analipa road licence na wewe unapiga makofi ....madara yake ni kupanda kwa garama za uendeshaji ....na kuongezeka kwa mfumuko wa bei ....hili umeliona .....je huyu ameongeza kipato kias gan kuweza kufikia hapo mahala pa ku cover hiyo cost...! huyu mtu kijijin hata enda kusaga tena kilo mja kwa kiasi alichokua anasaga leo bei lazima itaongezeka ....!tuwe na mtizamo boro
Bora CCM wanashangilia mwenzao kwa makofi na vigelegele. Chadema wao akifukuzwa Mnyika au Halima wote hutoka naye nje kwenda kumshangilia huko huko nje na kususia bunge. Sijaona wabunge wa Chadema wakipinga Lema kumtukana Rais au Halima kumtukana Spika. Uchaguzi 2020 itabidi vyama vieleze kwenye ilani zao kama fujo na ugomvi ni mojawapo ya sera zao.Imekuwa kawaida kwa Wabunge wa CCM kusifia na kupitisha Sheria au Budget kwa Ngovu zote,Makofi,Furaha wakitoka Bungeni wanaponda.Watanzania Tumewachoka.Kushangilia Road Licence ilipwe kwenye Mafuta wakati kuna watumia Mafuta hawatumii Magari,kama vile Wachimbaji wadogo wadogo wanatumia Diesel kuendesha mitambo yao kila siku,Mashine za Kusaga nafaka vijijini,Generator vijijini na hata mjini mda mwingine alafu bado Mbunge wa CCM Anashangilia Kasoro MSUKUMA NA WENGINE WACHACHE.
CCM shutuken uchaguzi si mbali Watanzania wa sasa si Wadanganywa tena.
Ishu ni kuwa hatumii barabara? This is my concern, kama anatumia barabara, alipie! Labda kama kulipia kumiliki gari, hapo kweli hausiki, lakini kama matumizi ya barabara, siyo magari peke yake. Hata mashini ya kusaga kama inatumia barabara katika kuihudumia ili iweze kusaga, basi alipie!
Nakuelewa, sema hatujaweka sawa point of controversy in our argument! read between lines my last post. Nimesema hata mashini ya kusaga mahindi, that mashine is serviced by the road, it should pay! Mashini inapata huduma kutokana na barabara. It is not a "perpetual" mashine. On the other hand hilo neno road licence is not appropriate! Kuna mabishano katika bunge. Msigwa anaema kinachotozwa lazima kiwe Road use na siyo Vehicle owning... kwa kila anayetumia barabara na siyo kila mwenye kumiliki gari! Road licence tax ina connotation ya kodi ya kumiliki gari which is not!sijui kama umeelewa my concept .....!
issue ni kumlipisha msaga mahind hela ya road licence au mtu wa generator