cha1509
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 258
- 402
3;1Ndio mkaona muweke msalaba kwenye jezi ya timu ya taifa ili kristo aisaidie starz?full time uganda 3 tz 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
3;1Ndio mkaona muweke msalaba kwenye jezi ya timu ya taifa ili kristo aisaidie starz?full time uganda 3 tz 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Kishtuka shuk wakT kumekuch ni US.ngeNegative mentality ya watanzania wengi, ndio maana tunaweza tusiende. Ndio maana weqe ukiwekwa ktk job interview na wakenya au wemgine, hao wemgine watapata kazi sababu ya mentality yako. Kuna uwezelano hata baadhi ya wachezaji wanafikiria ujinga kama wewe.
Burundi wametuzidi sana mipango ya soka. Angalia timu ngapi zina makocha wa Burundi hapa Tanzania.Burundi ni nchi ndogo sana ukilinganisha na Tanzania lakini leo wamefuzu walikuwa wanahitaji dro tu zidi ya Gabon na wameipata mechi imeisha moja moja
Yani kwa kweli tusipo fuzu itakuwa aibu na mi najua hatuwezi kufuzu
Maana hata tukishinda pia bado haitoshi inabidi pia Cap varde aifunge Lesotho
La sivyo ataenda Lesotho
Sasa ona hapo jinsi tilivyo mizigo yani tunataria Uganda watubebe na Cap varde watubebe kwa kumfunga Lesotho
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutashangazwa tuna draw na Uganda. Cape Verde anampiga Lesotho na kufuzu.Cape Verde hawatubebi maana hata wao pia wananafasi ya kufuzu wakishinda na sisi tukidroo au kufungwa, hivo lazima wakomae kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo aliesambaza huu uvumi wa alama ya kwenye jezi akamatwe na afungwe maisha, shenzi kabisa..!!!
Mkuu wewe anagalia yako hayo ya huko hatakuhusu badaye?! Kwani ungewafunga kule kwao hao Lesotho wala usingekuwa na mahesabu hayo?!! Sasa yeye akifungwa na wewe ukafungwa hapa nani anaenda?Cape labda wauze mechi maana kamari imeharibu soka ila Lesotho wanafungwa hawana ubavu wa kutoa sare pale...
Fitna za mpira huzijui mkuu mpaka utangaziwe mechi ya hapa imeisha na tumeshinda...Mkuu wewe anagalia yako hayo ya huko hatakuhusu badaye?! Kwani ungewafunga kule kwao hao Lesotho wala usingekuwa na mahesabu hayo?!! Sasa yeye akifungwa na wewe ukafungwa hapa nani anaenda?
Fitina za mpira zinafanywa kwa watu wenye uwezo!! Refer ile mechi ya under17 na burundi,Fitna za mpira huzijui mkuu mpaka utangaziwe mechi ya hapa imeisha na tumeshinda...
Kwa sheria ipi?Huyo aliesambaza huu uvumi wa alama ya kwenye jezi akamatwe na afungwe maisha, shenzi kabisa..!!!
Kwahiyo huko kote hadi Taifa stars ikaitwa kichwa cha mwendawazimu alikua ni bashite analeta LAANA?Stars itatolewa kwa sababu za chuki na laana za kisiasa zilizoingizwa kwenye mchezo huo na bashite mie mwenyewe siendi uwanjani hata kama ingekuwa bule
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukujiandaa ipasavyo, tunaishia taifa leo.
Mkuu Afrika mashariki mpango ulikua ni kupeleka Timu zote sisi hao wakina kiria ndio wamemetuharibia hapo mwanzo walikua hawaamini kama tutapita ndio shida waliweka mechi ya Lesotho uwanja wa Chamazi kweli Timu pinzani si inakua kama ipo kwao hapo...kiria na nduguze wanachojua ni kupanga matumizi ya hela wanazopata kutoka FIFA huku mikoa ikiwa hakuna hata mipira mizuri ya kuchezea ukienda nao tofauti wanakufungia usijihusishe na soka mbinu ya Blatter...Fitina za mpira zinafanywa kwa watu wenye uwezo!! Refer ile mechi ya under17 na burundi,
Hapo ndio kuna tatizo la mpira wa ncchi hii!! Huwa wanaingia kwenye mshindano kama kuwakilisha tu na sio kushindana, inapotoke zari ndio utawaona oho kumbe tunaweza na kuanza kuwapa watu matumaini ambayo hayapo, michezo ni uwekezaji wa muda mrefu sio kizimamoto!! Ila ndio njia ambayo tumeiamuaMkuu Afrika mashariki mpango ulikua ni kupeleka Timu zote sisi hao wakina kiria ndio wamemetuharibia hapo mwanzo walikua hawaamini kama tutapita ndio shida waliweka mechi ya Lesotho uwanja wa Chamazi kweli Timu pinzani si inakua kama ipo kwao hapo...kiria na nduguze wanachojua ni kupanga matumizi ya hela wanazopata kutoka FIFA huku mikoa ikiwa hakuna hata mipira mizuri ya kuchezea ukienda nao tofauti wanakufungia usijihusishe na soka mbinu ya Blatter...
Ndio!Kwanini Lesotho akidroo na Cape Verde na sisi tukashinda si tumefuzu au?
Wasomali bhana!Mkuu Afrika mashariki mpango ulikua ni kupeleka Timu zote sisi hao wakina kiria ndio wamemetuharibia hapo mwanzo walikua hawaamini kama tutapita ndio shida waliweka mechi ya Lesotho uwanja wa Chamazi kweli Timu pinzani si inakua kama ipo kwao hapo...kiria na nduguze wanachojua ni kupanga matumizi ya hela wanazopata kutoka FIFA huku mikoa ikiwa hakuna hata mipira mizuri ya kuchezea ukienda nao tofauti wanakufungia usijihusishe na soka mbinu ya Blatter...