live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 790
- 1,265
Burundi ni nchi ndogo sana ukilinganisha na Tanzania lakini leo wamefuzu walikuwa wanahitaji dro tu zidi ya Gabon na wameipata mechi imeisha moja moja
Yani kwa kweli tusipo fuzu itakuwa aibu na mi najua hatuwezi kufuzu
Maana hata tukishinda pia bado haitoshi inabidi pia Cap varde aifunge Lesotho
La sivyo ataenda Lesotho
Sasa ona hapo jinsi tilivyo mizigo yani tunataria Uganda watubebe na Cap varde watubebe kwa kumfunga Lesotho
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kwa kweli tusipo fuzu itakuwa aibu na mi najua hatuwezi kufuzu
Maana hata tukishinda pia bado haitoshi inabidi pia Cap varde aifunge Lesotho
La sivyo ataenda Lesotho
Sasa ona hapo jinsi tilivyo mizigo yani tunataria Uganda watubebe na Cap varde watubebe kwa kumfunga Lesotho
Sent using Jamii Forums mobile app