Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
Habari wadau,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Natafuta vijana wanaojielewa wanasheria na wasio kuwa Mwanasheria,tupange mikakati tuone ni kwa jinsi gani tunaweza kuwashitaki hawa CCm kwa kuliigiza taifa katika hasara zisizokuwa na msingi!!
Najua wamepewa ridhaa na wanachi kuongoza nchi,ila sio kwa Namna wanayofanya,tangu miaka ya 70 ccm wameruhusu rasilimali za nchi hii kuibiwa kiolela na hakuna anaewajibika,hivi karibuni kwenye swala la madini na makanikia tumeona wapuuzi wachache wa ccm waliingia mikataba ya siri ambayo sisi kama taifa tumepoteza mapato mengi sana bila sababu, baada ya mambo kuharibika wanajivisha uzarendo na kuanza kutulaghai kwana kwamba kuna jini lilitoka morocca ndo likasign huu upuuzi,na kwa bahati mbaya wananehemeka wao na familia zao.wametuacha asiimia kubwa ya wananchi tukilowea kwenye dimbwi la umasiki pasipo kuwa na mtetezi wamefanya sasa zitutawle tushindwe hatankufikiria mambo ya msingi.
natoa wito kwa vijana wenzangu tujitokeza tukadai haki na rasilimali zetu zilizoibiwa mahakamani siasa zimetosha..tuache ushabiki wa siasa tuwe kitu kimoja tupambane kwa ajili ya wadogo zetu na vizazi vijavyo..historia itaandikwa.
Binafsi Niko tayari kutoa ada zote za kimahakama kwa ajiri ya kesi hii.karibuni kwa michango ya kujenga kama unahisi haiwezekani pita kushoto!!
Natafuta vijana wanaojielewa wanasheria na wasio kuwa Mwanasheria,tupange mikakati tuone ni kwa jinsi gani tunaweza kuwashitaki hawa CCm kwa kuliigiza taifa katika hasara zisizokuwa na msingi!!
Najua wamepewa ridhaa na wanachi kuongoza nchi,ila sio kwa Namna wanayofanya,tangu miaka ya 70 ccm wameruhusu rasilimali za nchi hii kuibiwa kiolela na hakuna anaewajibika,hivi karibuni kwenye swala la madini na makanikia tumeona wapuuzi wachache wa ccm waliingia mikataba ya siri ambayo sisi kama taifa tumepoteza mapato mengi sana bila sababu, baada ya mambo kuharibika wanajivisha uzarendo na kuanza kutulaghai kwana kwamba kuna jini lilitoka morocca ndo likasign huu upuuzi,na kwa bahati mbaya wananehemeka wao na familia zao.wametuacha asiimia kubwa ya wananchi tukilowea kwenye dimbwi la umasiki pasipo kuwa na mtetezi wamefanya sasa zitutawle tushindwe hatankufikiria mambo ya msingi.
natoa wito kwa vijana wenzangu tujitokeza tukadai haki na rasilimali zetu zilizoibiwa mahakamani siasa zimetosha..tuache ushabiki wa siasa tuwe kitu kimoja tupambane kwa ajili ya wadogo zetu na vizazi vijavyo..historia itaandikwa.
Binafsi Niko tayari kutoa ada zote za kimahakama kwa ajiri ya kesi hii.karibuni kwa michango ya kujenga kama unahisi haiwezekani pita kushoto!!