Shrodingler
Member
- Jan 11, 2012
- 14
- 1
Nina rafik yang ambae hayumo umu. Na mm ndie mtu ambae huwa tunashare siri na kushauriana. Jamaa ni mtu safi na smart kila wakati, hivi karibun amepata tatizo ambalo halielewi. Ananiambia anajishangaa sasa ivi kwapa lake 1 ndilo linalotoa harufu na wakati lingne halitoi na ata ikitoka ni kwa mbali sana wakati ambapo katokwa na jasho baada ya kazi o matembezi. Ila ilo lingine limezidi kiasi kwamba sasa inambdi atafute ushauri wa kitabibu. Na anadai ata baada ya kuoga ndani ya mda mfupi tena harufu hurudi.