Sijamuacha kwa maana ya kuvunja mahusiano,,nimeahirisha kugegedana nae,,ingawa bado najipa muda kuona namna nzuri yaku-handle considering she has a loong way to go na maisha yakusoma
Wanawake wote hao mzee? AIDS kills,wenzio wanakuwaga na mmoja then wanaanza kumchunguza huyo ila ww unataka uchunguze wanne.Mtaka vyote kwa pupa ukosa vyote mkuu.
Kwa mimi hapo sijaoba wife material labda kwa mimi kishoka nafosi kingi kwa yeyote tu nafanya maisha fresh kabisa kasoro huyo singo maza wa jamaa wake majuu.
Ila kwa wewe last born nilivyosoma uzi wako huu una high expectation kwa atakae kua mkeo na siku akikuzingua inaweza kua safari yako ya akhera.
Chukua hiyo chuma ya pili ambayo maamuzi yenu hamuendani ikuchangamshe mbongo kidogo na ndio maana wewe unainyenyekea, hivyo itakupigisha kwata hadi utapenda.