Turekebishane: Hii imekaaje wana MMU?

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Sep 13, 2013
3,792
6,768
Habari

Humu jukwaani kuna baadhi ya memba wanaletaka mabandiko yao. Mengine yanaonyesha maisha ya mapenzi waliyopitia n.k

Kuna memba humu kazi yao ni kukosoa as if wao foolish age hawajawahi kupitia. Ukileta jambo ambalo ulilolifanya enzi unakuwa tuseme ulitembea na chang.doa basi unaweza kupata maoni hasi.

Kinachonishangaza karibia wote wanaotoaga maoni hasi wao hawajawahi kuleta nyuzi zozote angalau na sisi tuchangie (Mimi huwa nafuatiliaga maoni ya memba humu)

Wanawake wa humu nawashangaa sana. kwanza wote twatumia fake id na sidhani kama tunajuana. mimi sijuagi yoyote humu, ila sijui wengine. Memba wa kike akitaka kuanzisha mada, wengine hufungua new id sijui wanaogopaga nini hasa maana ata id yako ni fake, sasa kinachowaogopesha ni nini kufunguka.

Ikitokea uzi unaohitaji mawazo ya kike cha ajabu unaweza usione mchango wao ata mmoja.

kingine ni baadhi ya memba kuanza kuhusisha mada inayoletwa na mama yako, shangazi, bibi, na jinsia hiyo.

naombeni majibu
 
Mkuu wengine wanatunga stories kuchangamsha jukwaa, sasa mtu unakuta mwanzo alitoa mada kuwa ana mototo mada ya pili anataka adanganye uma kuwa ana bikira

Sasa anaona watu waki compile topics zake hizo mbili watagundua kuwa anadanganya kadamnasi,
 
Nimesahau

wengine huenda mbali na kudai, kwamba bikra za nyuma(wanaume) au marinda yamepotea.

michango inayoanzishwa humu mingi ni ya wanaume sijui wanawake kazi yenu ni kuwa wasomaji tuu au embu fafanueni.

utaalamu humu nao wanaotoaga vile vile ni wanaume. mfano memba mmoja anaweza kuomba msaada hasa kwenye maswala ya kike ila majibu watakayo toa ni wanaume je nauliza nyinyi wa kike ina maana hamjui au?
 
Mjomba naona siku hizi umejipa kilazima ukiranja wa MMU

Hahaha wewe

muone kwanza

mimi nipo field huku MMU nakusanya data. haiwezekani niwe na maswali mengi kuliko majibu

nakuomba jibu maswali ya hapo juu acha kuruka ruka kama chura
 
Mkuu wengine wanatunga stories kuchangamsha jukwaa, sasa mtu unakuta mwanzo alitoa mada kuwa ana mototo mada ya pili anataka adanganye uma kuwa ana bikira

Sasa anaona watu waki compile topics zake hizo mbili watagundua kuwa anadanganya kadamnasi,

Hahaha haha haha

ambaye simuaminigi ni huyu miss chagga maana yeye kashafanya kila kitu hadi kuendesha mwendokasi
 
Kwako unaona id fake kwa sababu hujamfahamu nje ya hapa wengine wameshafahamiana mkuu id inakuwa sio fake tena
 
Aah umeanza vizuri kuandika ila mwishoni umeonyesha lengo lako ni kuwaongelea wadada wa humu zaidi kuliko wanachama wote kwa ujumla

Kuna threads nyingi zimeanzishwa na wadada wa humu kwa ID zao maarufu zinaelezea matatizo yao na michango ikatolewa kwa usawa acha hizo wewe

Kuna uzi wa antonio de unaelezea mazingira mabaya waliyofanyia mapenzi na watu wamefunguka vya kutosha na hakuna aliyewasema vibaya.

Ukikuta thread mtoa mada anakula za uso jua kaleta uzi wa uongo(marudio ya story)
Hahaha wewe

muone kwanza

mimi nipo field huku MMU nakusanya data. haiwezekani niwe na maswali mengi kuliko majibu

nakuomba jibu maswali ya hapo juu acha kuruka ruka kama chura
 
Back
Top Bottom