Empress_sheila
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 293
- 335
Njoo Pm nkupe deal la skendo ya picha za utupu utajulikana kuliko hata Pierre LiquidTupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa super star., Ni kama vile nahisi ukiwa star ndiyo hata mabwana wenye pesa unawapata maana siye wengine tunaitwa warembo huku mtaani lakini dah! Mabwana wa maana hata hatuwapati, gigs za maana hakuna kabisa sijui tunakosea wap
Uzi tayari!
Tupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa super star., Ni kama vile nahisi ukiwa star ndiyo hata mabwana wenye pesa unawapata maana siye wengine tunaitwa warembo huku mtaani lakini dah! Mabwana wa maana hata hatuwapati, gigs za maana hakuna kabisa sijui tunakosea wap
Uzi tayari!
Anza kutiwa mdogo mdogo na hao wa mtaani, ukimaliza wote utakuwa famous hapo mtaani baadae famous Tanzania kiujumla.
Mbuyu ulianza kama mchicha
Kheeeee!Tafuta pesa binti, ujikwamue kiuchumi.. utasahau huo ujinga unaowaza... narudia Tena tafuta pesa.
Safisha nyotaTupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa super star., Ni kama vile nahisi ukiwa star ndiyo hata mabwana wenye pesa unawapata maana siye wengine tunaitwa warembo huku mtaani lakini dah! Mabwana wa maana hata hatuwapati, gigs za maana hakuna kabisa sijui tunakosea wap
Uzi tayari!
Waganga wamekua adim sana wale wakweli wengi matapeli tuNenda kwa mganga
Nasafishia wapi?Safisha nyota
Mi ni mwanasiasa lakini sijui siyo mbunifu? Na sijui nifanyaje hataVitu vinavyowa watu umaarufu ni
1.siasa
2.Uwanamitindo
3.uigizaji
4.umiss
5.uchekeshaji
6.uimbaji
Ukukomaa hata na kimoja wapo happo juu lazima uwe Maalufu
Wanaojali na kuhongaMabwana wa maana wapoje?
Sasa si ndiyo nina mtaji wangu kipochi manyoya nakitafutia hela? Kama uwoya tuTafuta pesa binti, ujikwamue kiuchumi.. utasahau huo ujinga unaowaza... narudia Tena tafuta pesa.
Kama wema lakini niwe na nahongwa kama uwoya halaf niwe na akili ya kuwekeza kama bakhresa nataka niwe na king'amuzi changu na kiwanda kikuubwa cha nyara ya serikali kama sukari hivi au mafuta ya kulaMaana ya kuwa superstar imebadilika au ndio ile ile? Unataka kuwa "superstar " kama nani ili upate wenye pesa, OP?