Tunu za taifa uwazi na uwajibikaji

Tunu za taifa uwazi na uwajibikaji

djcastlelite

Senior Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
159
Reaction score
21
Hivi ni kweli chama tawala kimependekeza kuonda kwenye rasimu tunu za taifa, ambazo ni uwazi na uwajibikaji?na bado wanajigamba wanamuehezi mwl nyerere? Hivi ni kwanini viongozi wa chama cha mapinduzi wanatudharau sana wananchi wake kiasi cha kutuona atuna akili?
 
Washangae na vijana wenzio taifa la kesho wabich kabisa na akili zao ambao bado wanaendelea kuwapigia debe ma ccm cjui wamelishwa unga wa ndere?poor heads!!
 
Hivi ni kweli chama tawala kimependekeza kuonda kwenye rasimu tunu za taifa, ambazo ni uwazi na uwajibikaji?na bado wanajigamba wanamuehezi mwl nyerere? Hivi ni kwanini viongozi wa chama cha mapinduzi wanatudharau sana wananchi wake kiasi cha kutuona atuna akili?
Nilishawishika na mchango wa mbunge wa BMK, Dk.Tulia, kuwa huo uwazi na uwajibikaji, usawa wa kijinsia, haki za binadamu si tunu bali ni masuala ya kimaadili. Mbunge huyu alipendekeza mambo ya namna hayo yaundiwe ibara maalum ya maadili ya kitaifa. Badala yake, tunu ziwe mbili tu lugha ya kiswahili na muungano. Nafikir tukirudi kwenye maana ya neno tunu tutapukutisha vitu vingi kwenye hiyo orodha.
 
transparency and accountability must be incorporated into the new proposed constitution otherwise it is meanless to have the new constitution!
 
Na unapoacha UZALENDO tu kwenye hiyo TUNU za Taifa ukayaondoa haya:UWAZI,UWAJIBIKAJI na UADILIFU utakuwaje Mzalendo kama hivi hauna?

Sikuona sababu ya kuviondoa,kwa sababu hizo ndizo chachu za kumpata kiongozi bora,sasa wamezinyofoa tusahau kupata maendeleo hata kw amiaka mia ijayo.
 
Hivi ni kweli chama tawala kimependekeza kuonda kwenye rasimu tunu za taifa, ambazo ni uwazi na uwajibikaji?na bado wanajigamba wanamuehezi mwl nyerere? Hivi ni kwanini viongozi wa chama cha mapinduzi wanatudharau sana wananchi wake kiasi cha kutuona atuna akili?

Umenena dj
 
Hivi ni kweli chama tawala kimependekeza kuonda kwenye rasimu tunu za taifa, ambazo ni uwazi na uwajibikaji?na bado wanajigamba wanamuehezi mwl nyerere? Hivi ni kwanini viongozi wa chama cha mapinduzi wanatudharau sana wananchi wake kiasi cha kutuona atuna akili?

SIYO SISI WANANCHI TU, BALI HATA Baba wa Taifa Mwl Nyerere CCM INAMUONA HAKUWA NA AKILI ENZI ZA UTAWALA WAKE KWA KUWEKA Maadili Ya Viongozi NA Azimio La Arusha. NAOMBA AJE MWANAccm YEYOTE AKANUSHE KWA HOJA HAPA KUWA JKN ALIKUWA NA AKILI PUNGUFU ZAIDI KULIKO CCM YA LEO INAYOKATAA Uadilifu, Uwazi NA Uwajibikaji KUINGIZWA KWENYE KATIBA YA TAIFA.
 
Back
Top Bottom