Kwanza naanza kwa kuwapa wanajamvi salamu zangu
leo nawapasha mambo yanatupata mitaa ya kawngu
Mwenzenu nilipopanga kuna gesti bubu jiarani yangu
Napambana na majaribu makubwa acheni tu ndugu zangu
Nitaftieni chumba mwenzenu wadau wangu singoji zamu yangu
Juzi nikakuta zogo watu wnamjia juu mwenye gesti yake
Nikaulizia, yapi yanamkuta mwenzangu na biashara yake
Iweje watu wajawe na hasira hadi waitake roho yake
Kumbe ule uchafu wa wateja zake autupa tu nje kwake
Hadipose vizuri ule uchafu wa zana za wateja zake
Mungu tuipushie waja si ndo juzi asubuhi kabwaga uchafu
Hamad watoto si wakaupitia na kchokoachokoa huo uchafu
Mama mmoja si akamuona mwanae anakuja akipuliza uchafu
kumfurumsha kwanini anapuliza zana za watu wa shetani mchafu
Mwenzie kadakia alikuta pulizo lina uji akaunywa wote kaninyima
Mama kajaza watu na kutinga pale gesti kulianzisha
Sasa mi nikajiuliza yule mtoto itakuwaje na hilo balaaa?
Toka juzi najiwazia, suluhisho ni kuhamia karibu na kanisa
Hivyo mnitaftie chumba wadau jirani na kanisa sasa
Bei ntatoa tu maana nimejione cheap is expensive sana
leo nawapasha mambo yanatupata mitaa ya kawngu
Mwenzenu nilipopanga kuna gesti bubu jiarani yangu
Napambana na majaribu makubwa acheni tu ndugu zangu
Nitaftieni chumba mwenzenu wadau wangu singoji zamu yangu
Juzi nikakuta zogo watu wnamjia juu mwenye gesti yake
Nikaulizia, yapi yanamkuta mwenzangu na biashara yake
Iweje watu wajawe na hasira hadi waitake roho yake
Kumbe ule uchafu wa wateja zake autupa tu nje kwake
Hadipose vizuri ule uchafu wa zana za wateja zake
Mungu tuipushie waja si ndo juzi asubuhi kabwaga uchafu
Hamad watoto si wakaupitia na kchokoachokoa huo uchafu
Mama mmoja si akamuona mwanae anakuja akipuliza uchafu
kumfurumsha kwanini anapuliza zana za watu wa shetani mchafu
Mwenzie kadakia alikuta pulizo lina uji akaunywa wote kaninyima
Mama kajaza watu na kutinga pale gesti kulianzisha
Sasa mi nikajiuliza yule mtoto itakuwaje na hilo balaaa?
Toka juzi najiwazia, suluhisho ni kuhamia karibu na kanisa
Hivyo mnitaftie chumba wadau jirani na kanisa sasa
Bei ntatoa tu maana nimejione cheap is expensive sana