johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Nauliza tu kwa mfano Tundu Lisu angepata 51% na kutangazwa mshindi na kuwa Rais wa JMT, je asingekengeuka dhidi ya Shujaa na kumletea usumbufu?
Maana nchi jirani mstaafu anapelekewa moto si mchezo
Sabato Njema!
Maana nchi jirani mstaafu anapelekewa moto si mchezo
Sabato Njema!