Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Naona kimya kimetanda baada ya Michael Wambura kupewa kesi isiyo na dhamana kwa lengo la kumnyamazisha ili asifukue ushahidi kuhusu mla rushwa mwenye tuhuma nzito ndugu Wallace Karia.
Wadau taratibu wameanza kumsahau shujaa Wambura ambaye anatumikia "kifungo" cha kutengeneza gerezani.
Natoa wito kwa wanasimba wenzangu na wadau wa michezo nchini kuhakikisha Wambura anapewa msaada wa kisheria na kurejea uraiani .
Wadau taratibu wameanza kumsahau shujaa Wambura ambaye anatumikia "kifungo" cha kutengeneza gerezani.
Natoa wito kwa wanasimba wenzangu na wadau wa michezo nchini kuhakikisha Wambura anapewa msaada wa kisheria na kurejea uraiani .