Hasalaam aleku.
Nimeona nami nitie neno kidogo kwa mahitaji ya wakati.
Hapana sili ya kwamba Tundu Lissu is a legend. Tunaweza kukataa kwa sababu za uchawa na vitu kama vile. But in reality Lissu ni mtu hatari sana in a positive way
Thamani ya Tundu Lissu itaweza kuonekana baada ya miaka 50 mpaka 100 na kuendelea
Sitashangaa watu wakinipinga mimi am taking beer right now
Karibuni