leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Kichaa yeyote huwa anawaona watu wengine wote ni vichaa.hiyo ndio njia rahisi kujua kama akili yako ni nzima ama la.Chama cha wanasheria kwasasa kinavuliwa nguo na Lisu. Kwakuwa wanajua walikoseakumchagua mtu ambaye hawakuchunguza vizuri afya yake ya akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
endapo zaidi ya watu 600 walimuona ni mzima isipokuwa wewe basi wewe ni kichaa