CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 1,806
- 1,233
balaaa
Mbona tayari wamemshabulia??????????? Ujinga wa akili ni umasikini wa milele na milele!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hivi kweli kuna mtu atapoteza muda wake kumfuatilia lisu sasa mkuu??
Una hamu ya kumuona amekufa?????????????
Mkuu naona umeamua kufukua makaburi.waliompiga risasi Tundu Lissu inaezekana wakawa wanajulikana na watu wa serekali maana Lissu alishawahi kulalamika kuhusian na vijana wa Toyota premio T460CQV
TISS wakufatilie kishamba hadi uwakabe? Duh! ....labda polisi wa kawaida wala si hata CID ....au labda ni wale wanaojiita Fichua uovu wa Shingongo ....big time joke ...hahaha ...eti nikawakaba ....dah
Inaumiza sanaMH HII NI DUNIA ALLA ATAMPONYA.NINI HUKUMU YA ANAYE KUSUDIA KUUA ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliomteka Ben Saa Nane mpaka leo hajulikani alipo..
Jiulizeni kwani Ben alikuwa na nini......???
Uzuri taarifa imefika kuhusu jinsi mnavyomfatilia TL.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu Wakuu,
Leo Tundu Lissu ametoa ya Moyoni kwamba anawindwa na kufuatiliwa na vyombo vya Usalama. Amewasihi Vyombo vya Usalama vipambane na Wahalifu sio Wanaoikosoa Serikali
"Naomba kabla sijaanza Mazungumzo yangu nimuombe Mkuu wa idara ya Usalama wa Taifa anaitwa Kipilimba au Inspekta Generali wa Polisi Simon Sirro, wale vijana ambao wamewatuma na kwa wiki tatu mfululizo wananifuata kila nilipo wanaotembea na gari ya Toyota premio namba T460CQV, jana niliwakaba Kanisani St. Peter's.
Wakubwa hawa wa Vyombo vyetu vya Usalama wawaelekeze watumishi wao watumie muda na rasilimali za nchi hii wafanye kazi ya kupambana na Waharifu sio kupoteza muda wao na pesa zetu kuhangaika na raia ambao wanatimiza wajibu wao wa kuiwajibisha Serikali iliyoko Madarakani.
Kwahiyo Afande Sirro na Afande Kipilimba, fanyeni kazi ya kupambana na Wahalifu na tuachieni kazi ya kuwaajibisha walioko Madarakani kwa mjibu wa Sheria za Tanzania".
Mkuu nikiangalia Avatar yako hua jasahau kabisa kilichotokeaDaaah inauma sanaa
shushushu VIP
Heshima kwenu Wakuu,
Leo Tundu Lissu ametoa ya Moyoni kwamba anawindwa na kufuatiliwa na vyombo vya Usalama. Amewasihi Vyombo vya Usalama vipambane na Wahalifu sio Wanaoikosoa Serikali
"Naomba kabla sijaanza Mazungumzo yangu nimuombe Mkuu wa idara ya Usalama wa Taifa anaitwa Kipilimba au Inspekta Generali wa Polisi Simon Sirro, wale vijana ambao wamewatuma na kwa wiki tatu mfululizo wananifuata kila nilipo wanaotembea na gari ya Toyota premio namba T460CQV, jana niliwakaba Kanisani St. Peter's.
Wakubwa hawa wa Vyombo vyetu vya Usalama wawaelekeze watumishi wao watumie muda na rasilimali za nchi hii wafanye kazi ya kupambana na Waharifu sio kupoteza muda wao na pesa zetu kuhangaika na raia ambao wanatimiza wajibu wao wa kuiwajibisha Serikali iliyoko Madarakani.
Kwahiyo Afande Sirro na Afande Kipilimba, fanyeni kazi ya kupambana na Wahalifu na tuachieni kazi ya kuwaajibisha walioko Madarakani kwa mjibu wa Sheria za Tanzania".
Nafkir kuna ktu umejifunzaKwahiyo hizo namba za magari alizotupa ndio uthibitisho kuwa anafuatiliwa?? au kuwa hao watu ni wa huko anakosema wanatoka? Mwanasheria wa ajabu kabisa huyu. Halafu eti anataka Urais!!