Tundu Lissu: ACT-Wazalendo walianzishwa kuua upinzani, sasa wanazawadiwa

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
Akijibu swali na mwandishi wa habari juu ya maoni yake kwa uteuzi wa Magufuli kwa wapinzani Lissu amesema ACT sio wapinzani, bali walianzishwa kkwa ajili ya kuuwa upinzani na sasa wanazawadiwa, Kitila Mkumbo na Anna Mghwira ni zawadi.

Amedai serikali hawajawi kuwa na shida na ACT bali shida yake kubwa ni Chadema na CUF na hao wengine ni CCM wakiwa wamevaa magwanda tofauti

Akijibu juu kuhusu kama akiteuliwa atafanyaje alijibu kitu hicho hakiwezi kutokea na wala hawezi kutumikia utawala wa kidikteta yeye ni mpinzani

 
Leo akiongea kutokea mahakamani na waandishi wa habari, Mwanasheria mkongwe na kada wa Chadema, Tundu lissu amesema kamwe hawezi kukubali kuteuliwa katika utawala wa kidikteta.

Amesema pia kwamba hawezi kuwa katika sehemu ambayo katiba ya nchi inakandamizwa na akiniteua ni mpaka abadilishe katiba ya nchi kwanza,
Ameongeza kwa kusema kwamba mghirwa ni CCM na sasa wanarudi walipptokea baada ya kuona mambo magumu kwao.

ACT wanateuliwa kwa sababu wao pia walikuwa ni CCM na sasa wanarejea walipokuwepo mwanzoni.


Nani amteue huyo ... ? Mbona anajishtukia?
 
Akijibu swali na mwandishi wa habari juu ya maoni yake kwa uteuzi wa Magufuli kwa wapinzani Lissu amesema ACT sio wapinzani, bali walianzishwa kkwa ajili ya kuuwa upinzani na sasa wanazawadiwa, Kitila Mkumbo na Anna Mghwira ni zawadi
Amedai serikali hawajawi kuwa na shida na ACT bali shida yake kubwa ni Chadema na CUF na hao wengine ni CCM wakiwa wamevaa magwanda tofauti

Akijibu juu kuhusu kama akiteuliwa atafanyaje alijibu kitu hicho hakiwezi kutokea na wala hawezi kutumikia utawala wa kidikteta yeye ni mpinzani



Mbatia wa NCCR nae alishateuliwa kuwa mbunge enzi za JK ila leo ni mshirika wenu.

Siasa na Unafiki damudamu.
 
Back
Top Bottom