Tunavuna tunachopanda

Joined
Mar 6, 2015
Posts
70
Reaction score
221
Asubuhi nilileta Uzi hapa, bout encouraging single mothers,, kwamba one day Mungu atawalipia fedheha zote walizopitia.
Baadhi ya wanaume walaaniwa wamekuja juu sana... But ukweli haukwepeki na ukweli hauzikwi milele utatafuta tu njia.
Kabla sijawapa vidonge vyao hawa walaaniwa let me tell you this.

*anakuambia una kelele sababu hakupendi kila unaloongea kwake ni kero
*Atasema una kiburi na jeuri sababu always anatafuta sababu ya kua mbali na wewe

Let me tell you this amka asubuhi jiambie kwa sauti Mimi ni wathamani na bwana atailejesha heshima angu iliopotea. Kama n mjasiliamali amka fanya shughuli zako. achana na kudanga ,,,biashara zinakufa na kufufuka ni kawaida ukianguka inuka Mungu atakuinua siku moja.
Nyege haziui usigongwe na kila Kimwanaume kinakwambia I love you,,, wewe ni mama jiheshim bwana atajibu kwa wakati nimemuona akijibu.
Wanawake tunaomba, tunatafuta hela ,tunapendeza na tunausubili wakati wa Mungu.

Nakuja kwa wajaa laana wanaowafanya watu wasijione wa thamani.
Kwanza ukweli mchungu hakuna watu wenye wake wabovu, kama mwanaume alieacha Binti wa watu na machozi no huduma no kufahamika kama baba mtoto no what.
Sijasema kuoa hamna anaekulazimisha naongelea being responsible as a father.
Kama hataoa mke mlevi, basi utakuta mkewe anatembea na shemeji zake,,,hii nimeishuhudia kabisa nakumbuka yule kaka aliumwa pressure wiki alizimia, hajitambui. Baada ya kumkuta mkewe na mdogo ake wananyanduana kitandani kwake.
Na ukiona mke wake Hana shida basi Ile laana ake inaenda kwa mdada wa watu mala hazai ,mala watoto wanakufa mala anaumwa cancer basi tu taflani.
Ndoa zote Zina shida ila za hawa jamaa arooo ni za moto.

Babu zetu walikua mpaka na wake kumi na mbili, unajua how did they manage? They respected all of their woman's
Walikua so responsible kwa familia na Bibi zetu walivumilia sababu despite of being 12 anawaheshimu wote kama wake zake.

Kikaka cha saizi kinamzalisha mwanamke,,,kinazimwaga kasolo zake zote.....kwa kila anaemuona ili tu kaonekane Kako smart na pale ilikua hit and go!!! bahati mbaya mimba ikatokea.
Well you're very stupid and you're digging you're own grave.
Fedheha yako ikikukuta utatamani uzame ndani ya ardhi na hutaweza

Nimewaona wakakaa wamewazalisha wanawake, wamewapangia na wamewapa mitaji na mtoto anamsomesha na ameoa mke mwingine.. but ma mtoto na mtoto anamuhudumia bila shida. nyie wa ivi Mungu awabariki awape siti ya mbele mbinguni.

It's normal single mothers kudharaulika now but ten years from now kuna Mambo ya ajabu yatatokea and it's all because ya kile tulichopanda.
Hayupo anaekulazimisha kuoa just be a responsible father.
 
Ukikubali kuzakishwa kabla ya ndoa. Wewe ni?..??? Wahuni.watajibu hii. Usituite wajaa laana ikiwa mnatuuzia uchi. Wajaa laana ni nyie mnaouza. Hauwezi kuibadilisha dunia ikiwa hujajibadilisha wewe kwanza. Toa kasoro zako ndio umkosoe mwingine, acha kudanga acha kugawa papa km njugu afu tulia jitambue kama hutaheshimiwa.

Unavaa nusu uchi nani.akuheshimu. bibi na mama zetu waliheshimiwa maana walitambua nafasi zao co.nyie wa 50/50 hata kuosha kikombe hamuwezi.

Muhimu. Ukiona wanaume wanakujaza na kukukimbia jichunguze kwanza ww ndipo uiongelee dunia. Na usihumu wanaume woote kwa kosa la mmoja.


Dada usifungue nyeti zako tukukute bikra kama hatujengi kambi
 
Asubuhi nilileta Uzi hapa, bout encouraging single mothers,, kwamba one day Mungu atawalipia fedheha zote walizopitia.
Baadhi ya wanaume walaaniwa wamekuja juu sana... But ukweli haukwepeki na ukweli hauzikwi milele utatafuta tu njia.
Kab
Umemtaja Mungu afu unawashauri masingle maza wagawe ngono ila sio kwa kila mwanamme huoni unasapoti uzinzi ambao hata Mungu anaupiga vita?

Masingle maza wataendelea kuwepo as long as dunia ipo cos kuna masingle maza wa kujitengeneza na wa kutengenezwa na wote mwisho wa siku watasimama mbele za Mungu kuhukumiwa sawasawa na matendo yao so uwashauri hata wapambane kurudiana na waume zao sio wapambane kuachana zaidi maana huko watazini tu na Mungu atawachoma kwa moto siku ile ya hukumu .

Mkikwazwa kidogo tu mnakimbilia kupambana kuwa sawa na wanaume ili muwaoneshe kumbe mnaharibu future zenu zaidi kiroho .BADILIKENI
 
Waambie waambie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwaza kua kisa flani kanifanyia ubaya basi nae baya litamkuta huwa inatokea mara chache mno mno, play part yako usijiumize kwa kusubiri flani afadhaike kisa alikufanyia ubaya.

Umewamotivate single mothers vizuri sana, ila huko kwa hao unaowaita wajaa laana hujaongea lolote la maana zaidi ya kuwatisha tu. Una points mkuu panga vizuri uzi wako uwafikie walengwa.
Hii mipasho wanaume huwa hawaizingatii kabisa wanawake ndo huwa wanapenda mipasho kama hiyo.
 
Ati mala chache?? Wanaume mnajifariji sana na ukweli kwa mwanaume siku zote ni mipasho, mkikaa baa mnadanganyana wapo wanaosapoti ujinga lakini nyuma ya pazia anahudumia familia ake vzuri. mnasema hayo mabaya hayamkuti sababu in reality hayupo ivo.
Katika kila baya unalotenda malipo yapo
Biblical daudi alimtwaa mke wa uria akamuua mumewe na akamuoa yule mwanamke but uliona Mungu alivomludi?? Na huyu ni yule Mungu amemuita the man after my own heart.
Sasa wewe ni Nani ufanye mabaya Mungu akuchekee tu.
Yatawakuta tu take it or live it, whatever you throw up it comes back down

11 BWANA asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitawatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili.
12 Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua.
13 Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa.
14 Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umewapa adui za BWANA nafasi kubwa ya kukufuru, mtoto atakayezaliwa kwako hakika yake atakufa.
 
Asante kwa muongozo.

Ila hakikisha na mkumbushe mwanamke yeyote asijirahisishe na kupelekea kupata mtoto kabla ya ndoa.
 
Comments zenu zote ni self defense na ndio inayowanyima wanawake confidence ajione yeye ndo mkosaji sana, kweli kuna muda tunakosea weren't perfect.but mwanaume ukikosea you do everything to find a woman's weakness to support your wrong doings. it's unacceptable and it should be put to an end.
 
Hata hatujifariji ndgu yangu huo ndio ukweli, mimi pia ni mkristo ila siamini saana kuhusu hiyo karma. Ndio maana nikakwambia kutegemea flani aanguke kisa alikufanyia wewe baya ni kujiumiza bila sababu. Mungu ni wa wote wadhambi na wasio dhambi wote anawabariki ndio maana sote tupo hai majizi, majambazi wote wote.

Na kibaya zaidi wanawake mnapenda kutafuta huruma ya jamii hata kama makosa ni yenu. Na ndio hiki unachokifanya wewe hapa kutafuta huruma kua single mothers hawana makosa ila ni wanaume ndio wanakosea.

Na tatizo jingine ni kua baadhi yenu mmegeuza watoto ni kitega uchumi, mtu anazalishwa na wanaume mbali mbali ili apate child support huku na huko. Acheni hizi. Mbona kuna wanawake wamelewa watoto wao bila kelele kama hizi zako hapa.
 
It's not karma it's simple physics, hata daudi Mungu alimpenda na anampenda hadi leo maana ameketi kwa baba. hata Yesu ni WA ukoo wa daudi. but the fact that he loves wema na wabaya haigurantee eti mabaya yako yaachwe,
Scenario ziko tofauti every single mom anapitia yakwake
I've given a simple example baba angu alikaribia kufa ,waligombana na mama almost ndoa ivunjike afu mnasimplfy tu kifala we endured all of that afu mtu anataka achekewe.
Hayupo anaetafuta huruma
We simply remind you that God will provide justice
Na hayupo mwanamke anaezaa kitega kiuchumi wanazaa watoto ambao hata asipopewa io child support they still eat and go to school.
 
Mleta mada anawakumbusha Wanaume wanaokimbia majukumu yao waache hiyo tabia siyo nzuri kabisa.
 
Made my grand ma pray for good, and never made her happy but I bet that Mercedes could
 
Hapa ndo umemaliza yote mkuu. Kumbe hizi hasira zinatokana na mambo uliyopitia wewe, pole sana.

Iko hivi ikitokea huyo mwanaume yakampata mabaya basi shukuru tu ndgu yangu ila hilo sio la kulitegemea. Kama ulivolelewa wewe mpaka sasa umekua ndivyo watakavyolelewa wengine na single mothers.
Nawashim sana hao kina mama, wanafight sana sana kwa ajili ya watoto wao. Wale wanaokua na vinyongo na visasi kwa waliowazalish ndo huwa hawaendelei zaidi ya malalamishi .

Mpaka dunia inaisha(kama kuna mwisho), hizi mambo zitakuepo tu.
 
Hivi hawa wanaume wote humu hakuna alielelewa na single maza? I mean single maza wanazaaga watoto wakike tu?
Maana kama umelelewa na mama tu huwezi kumkashifu mwanamke aliezalishwa na kuachwa.
 
Mleta mada una point, kwamba, wanaume wasiwateleleze watoto. Hiyo ni point nzuri sana. Ila kuna shida kidogo kwenye reaction yako, unaonekana kama unashida umepitia na umeshindwa kupambana nayo vyema, na hisia zako zimevurugika kwa hilo, kiasi kwamba hauwezi kufikiria vyema, haswa kwenye suala la kusubiri waliokutendea mabaya na wao mabaya yawakute. Ni fikra zangu tu, naweza nikawa sipo sahihi!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…