Plot4Sale Tunauza viwanja Kigamboni

Huyu jamaa itakuwa haelewi chochote kuhusu hvyo vuwanja... Ameweka tangazo bila kujua chchte..
Mwembe mdogo ni umbali gani from Ferry ?
Vina installments?
 
NUNUA VIWANJA NA TRUST SOLUTION COMPANY LTD.
Je Unajua
? Kwamba 6500 Inaweza Kukufanya Uishi Kwako Na Kutimiza Ndoto Yako.
TRUST SOLUTION COMPANY LTD Tumekuletea Mradi Huu Upo KIGAMBONI BUYUNI
, Manispaa Ya KIGAMBONI.
MRADI UPO METER 200 KUTOKA BARABARA KUU
KM 1 KWENDA BAHARINI (1KM TO THE BEACH)
Square Meter 1 Cash 6500 na Mkopo Ni 8500 .
Bei nzima ya kiwanja 1,960,00 Tu(Sqm 302) Ambapo Kila mwezi Malipo 143,000 tuh (Miezi 18)
Eneo ni Tambarare , Huduma zote za kijamii

UMEME
, MAJI
Na MAKAZI

HATI KUTOKA WIZARANI LAZIMA.

Malipo Yetu Ni Ya Aina Mbili Cash na Installment (Kwa muda wa Miezi 18)
Kwa Mawasiliano
+255714432091

N:B KUKUHUDUMIA KILICHO BORA NI JUKUMU LETU
, ANDAA KESHO YAKO NA KWA FAIDA YA VIZAZI VYAKO.

#KigamboniKumenoga
#AndaaMakazi #LipaKidogoKidogo #ViwanjaKigamboni #DalaliKigamboni #LipakidogokidogokwaMaendeleoYako
#ViwanjaVilivyopimwa


 
Muda
Utafika Utahitaji Ardhi Itakuwa Imepanda Thamani Mara Tatu Ya Thamani Ya Bei Ya Kiwanja Sasa Hivi.
Muda wa kuwekeza Ni Sasa Fanya Maamuzi, Jipatie Ardhi Sasa kuilinda Kesho Yako.
Chagua Kigamboni Hakika Ni Chaguo Sahihi Kigamboni Ya Viwanda.
Pata Buyuni Kiwanja Kwa Square Meter 1 Cash 6500 na Mkopo kwa 8500 ambao utakuwa Unalipa kidogo kidogo ndani ya Miezi 18.(Mkopo Bila dhamana)
Umeme
, Maji
na MAKAZI Ya Watu

Kwa Mawasiliano
0714432091

#KigamboniYaViwanda #KigamboniKumenoga
#AndaaMakazi #ViwanjaKigamboni #LipaKidogoKidogo #WekezaKwaMaendeleoYaKeshoYako #wekezakwenyemaliisiyoshukathamani
 
🫱
‍🫲
Mipango Inaenda na Vitendo Anzaa Week Yako Kwa Kumiliki Ardhi Na Trust Solution Company Ltd.
Sababu TRUST SOLUTION COMPANY LTD Tumekuletea Mradi Huu Upo KIGAMBONI BUYUNI
, Manispaa Ya KIGAMBONI.
MRADI UPO METER 200 KUTOKA BARABARA KUU
KM 1 KWENDA BAHARINI (1KM TO THE BEACH)
Square Meter 1 Cash 6500 na Mkopo Ni 8500 .
Bei nzima ya kiwanja 1,960,00 Tu(Sqm 302) Ambapo Kila mwezi Malipo 143,000 tuh (Miezi 18)
Eneo ni Tambarare , Huduma zote za kijamii

UMEME
, MAJI
Na MAKAZI

HATI KUTOKA WIZARANI LAZIMA.

Malipo Yetu Ni Ya Aina Mbili Cash na Installment (Kwa muda wa Miezi 18)
Kwa Mawasiliano
+255714432091

N:B KUKUHUDUMIA KILICHO BORA NI JUKUMU LETU
, ANDAA KESHO YAKO NA KWA FAIDA YA VIZAZI VYAKO.

#KigamboniKumenoga
#KigamboniYaViwanda #RealEstate #AndaaMakazi #LipaKidogoKidogo #ViwanjaKigamboni #DalaliKigamboni #LipakidogokidogokwaMaendeleoYako
#ViwanjaVilivyopimwa

 

Kazi nzuri.
Nashauri muweke hapa mchoro unaoonyesha hivyo viwanja, mteja aone vipi vimechukuliwa na vipi Bado achague.

Pia inasaidia kujiaminisha kwamba eneo halitasumbua kupata hati Kwa vile mchoro umeshapitishwa.

Ahsanteni kuwasaidia raia kupata makazi.

Acha tumalizie kukokotoa nyongeza ya mshahara mwezi wa Saba SI haba tunaweza kutafutana.

Kila la kheri
 

Shukrani mkuu nimekuelewa ntafanya hivyo .Karibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…