UmemalizaSema uko mkoa gani, sungura aina gani, wana uzito wa kiasi gani, na bei gani, acha ufala wewe unafanya biashara kama mgogo bana
Hapa ndipo tunapozidiwa na wenzetu kwenye Biashara.
Tunaishia kuwalaumu wageni.
Kweli TANGAZO mimejitosheleza kweli.?
Hakuna Location hakuna taarifa za Msingi.
Wabongo tubadirike.
Yan kuna watu ni wapumbavu sana na hawajui kabisa biashara wajinga hawa. Yeye anaona ndio kaweka tangazo hapo. Very poorSema uko mkoa gani, sungura aina gani, wana uzito wa kiasi gani, na bei gani, acha ufala wewe unafanya biashara kama mgogo bana