Tunauza program ya kusimamia biashara yenye matawi

Tunauza program ya kusimamia biashara yenye matawi

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,588
Reaction score
2,433
Kama wewe una biashara yenye matawi, hii ni habari njema kwako. Hizi ni zama za kidigitali, Business Digitalization Solution, tumekuja na program unayoweza kutumia kwa simu au computer ambapo taarifa za mapato na matumizi kutoka kila tawi utaweza kuziona kila zinaporekodiwa ukiwa popote. Program iitwayo Sage one inapishana na program za kawaida kwa kufanya yafuatayo :

1.Kufanya stock taking kwa ku update taarifa kila ukifanya mauzo au kuongeza stock

2.Kuhamishia taarifa zako kama wateja na bidhaa ulizonazo toka excell kuja kwenye Sage One kwa single click

3.Kutoa ripoti ya faida na hasara ya biashara kwa wiki,mwezi, muhula au mwaka

4.kutoa ripoti ya Asset za biashara

5. Kuandaa receipt, invoice na document za biashara zenye logo ya biashara husika

6.Kutoa ripoti ya Top 10 ya bidhaa zinauzwa kwa wingi

7. Kutoa ripoti ya Top 10 ya wateja bora

8. Kuingiza bajeti yako ya mwezi au mwaka ili kujipima usahihi wa matumizi

9.Kuandaa VAT kila mwezi

10. Ripoti ya Cash flow

Pia utapata Support ya BURE kwa mwaka mzima. Tupo Kibaha Mjini, tunahudumia nchi nzima kwa njia za kisasa, wasiliana nasi muda huu
0713039875
Dr. Mussa Zaganza
Business Digitalization Solution
cash flow.png
data import.png
item report.png
VAT.png
 

Attachments

  • stock.png
    stock.png
    17.8 KB · Views: 6
Hii program bei ya ni sh ngapi? Na kuna cost nyingine baada ya hapo?
Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
Inaanzia tzs 150,000 (laki na nusu) kwa biashara ya kawaida. Kwa biashara kubwa inayohitaji sifa za ziada inakuwa laki 3. Kama biashara yako ndo unaanza tunakushauri tumia Excell ya kawaida.Tuwasiliane kwa 0713039875, hakuna gharama za ziada
 
Nikiwa nauza bidhaa Tofauti zaidi ya 1500+ ukinipatia top 10 ya bidhaa zinazouzika kwa haraka bado hujanisaidia Mimi Kama Mfanyabiashara. The margin mliyoweka ni ndogo mno.
 
Back
Top Bottom