Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Mtu mwenye kilo 304 anaweza kulala kwenye hiki kitanda na kisivunjike wakati wa kumgegeda?Tunatengeneza furniture bora, imara na za kisasa kwa bei na fuu. furniture kama kabati, Dressing table, Daining table, stend za TV, kabati za jikoni, kabati za tukani, vitanda aina zote na flem za milango. Tunapatikana kawe kanisani mkabara na mahakama, kwa mawasiliano piga no. 0684085052
View attachment 1324675View attachment 1324676View attachment 1324677View attachment 1324679
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako haina mashiko.... Wachawi bhanaTunauza na kutengeneza ferniture aina zote
Furniture
- Thread starter zootopia jr
- Start date Today at 9:33 AM
USHAURI:-
Hongereni kwa kazi nzuri
USHAURI:-
kila bidhaa ungeweka na bei yake hii ingependeza sana
Hongereni kwa kazi nzuri
Naomba msaada
Kuna bedside table nyeupe inachubuka rangi kirahisi mno kutokana na kukalisha vitu juu yake
Nipake nini kurudishia kama ilivyokuwa..ili idumu zaidi
Mtu mwenye kilo 304 anaweza kulala kwenye hiki kitanda na kisivunjike wakati wa kumgegeda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kiongozi, fika ofisini kwetu kwa kazi yoyote inayousisha mbao na chuma tukuudumie @Aurora
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kiongozi, fika ofisini kwetu kwa kazi yoyote inayousisha mbao na chuma tukuudumie @Aurora
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana MkuuAsante sana LadyRed kwa kesi kama iyo mtafute fundi aliye karibu yako arudie kupulizia rangi ya dawa.(kumbuka kumwambia neno ili "rangi ya dawa")
rangi ya dawa ni nzuri na harusu michubuko kabisa labda ukiwa umekusudia kuchubua au kuweka moto juu ya kitanda ndio itachubuka.
Ukipendezwa unaweza fika ofisini kwetu kawe kanisani karibu na mahakama tutakufanyia kazi hiyo kwa bei nafuu kabisa. Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app