Tunauza na kutengeneza furniture aina zote

Tunatengeneza furniture bora, imara na za kisasa kwa bei na fuu. furniture kama kabati, Dressing table, Daining table, stend za TV, kabati za jikoni, kabati za tukani, vitanda aina zote na flem za milango. Tunapatikana kawe kanisani mkabara na mahakama, kwa mawasiliano piga no. 0684085052

View attachment 1324675View attachment 1324676View attachment 1324677View attachment 1324679

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mwenye kilo 304 anaweza kulala kwenye hiki kitanda na kisivunjike wakati wa kumgegeda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana LadyRed kwa kesi kama iyo mtafute fundi aliye karibu yako arudie kupulizia rangi ya dawa.(kumbuka kumwambia neno ili "rangi ya dawa")

rangi ya dawa ni nzuri na harusu michubuko kabisa labda ukiwa umekusudia kuchubua au kuweka moto juu ya kitanda ndio itachubuka.

Ukipendezwa unaweza fika ofisini kwetu kawe kanisani karibu na mahakama tutakufanyia kazi hiyo kwa bei nafuu kabisa. Karibu
Hongereni kwa kazi nzuri
Naomba msaada
Kuna bedside table nyeupe inachubuka rangi kirahisi mno kutokana na kukalisha vitu juu yake

Nipake nini kurudishia kama ilivyokuwa..ili idumu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana LadyRed kwa kesi kama iyo mtafute fundi aliye karibu yako arudie kupulizia rangi ya dawa.(kumbuka kumwambia neno ili "rangi ya dawa")

rangi ya dawa ni nzuri na harusu michubuko kabisa labda ukiwa umekusudia kuchubua au kuweka moto juu ya kitanda ndio itachubuka.

Ukipendezwa unaweza fika ofisini kwetu kawe kanisani karibu na mahakama tutakufanyia kazi hiyo kwa bei nafuu kabisa. Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana Mkuu
 
Karibuni
IMG-20200119-WA0005.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
Laki tano na nusu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom