Kwa mbao zaina gani mkuu? mninga,mkongo, mntondoo au hizi za muembe? ngomeeeeeeMkuu kitanda kama hiki unaweza kutengeneza kwa hela ngapi..??View attachment 1330380
~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
Kitanda kama hiki 4×6 mbao Mninga kitanicost hela ngapi bro,style hii hii isiwe tofautiView attachment 1330383
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechukua # yako nitakutafuta,sitahitaji hizo drawers nadhani bei itashuka.
Hii Mbona Haujibu.Mkuu kitanda kama hiki unaweza kutengeneza kwa hela ngapi..??View attachment 1330380
~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
Nilishajibu kiongizi garama itategemea na aina ya mbao atakayotaka tutumie NYANYADOHii Mbona Haujibu.
mie mwenyewe mwanangu amekipenda.
Taja bei.
mbao iwe pine .
Mbao iwe Pine.Nilishajibu kiongizi garama itategemea na aina ya mbao atakayotaka tutumie NYANYADO
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana mkuu AroveraVitu vizuri kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kitanda laki tano na nusu mkui, kabati unataka la milango mingapi? EMANUEL MACHA
Hiyo kabuki ya nguo ya kwanza Kabis ni shilingi ngapi?Tunatengeneza furniture bora, imara na za kisasa kwa bei na fuu. furniture kama kabati, Dressing table, Daining table, stend za TV, kabati za jikoni, kabati za tukani, vitanda aina zote na flem za milango. Tunapatikana kawe kanisani mkabara na mahakama, kwa mawasiliano piga no. 0684085052
View attachment 1324675View attachment 1324676View attachment 1324677View attachment 1324679
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kitanda kama hiki unaweza kutengeneza kwa hela ngapi..??View attachment 1330380
~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
Mbao iwe Pine.
Naomba Gharama
Hiyo kabuki ya nguo ya kwanza Kabis ni shilingi ngapi?