Tunauza mayai ya kuku chotara

Tunauza mayai ya kuku chotara

Remmy

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2009
Posts
4,701
Reaction score
1,807
Tunauza mayai ya chotara kuku aina ya Kenbro na Kuroiler, trei moja shilingi 13,000 tunapatikana Mbezi Makabe.

Kwa mawasiliano 0658961096.
 
duh siku hizi wafugaji wa kuku wamekua wengi kweli........


fugeni wa kienyeji, mayai yake dili sana!
 
duh siku hizi wafugaji wa kuku wamekua wengi kweli........


fugeni wa kienyeji, mayai yake dili sana!
Unasema bila kujua.

Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni biashara kichaa.
 
Unasema Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni biashara kichaa ????? kivipi
Ni kichaa, wala sio uongo! Kwanza, ufugaji wa kuku wa kienyeji ni pasua kichwa! Ukisema uwafungie ndani, taabu na ukifanya free range system; taabu! Lakini pamoja na taabu yote hiyo, unalilisha kwa zaidi ya miezi 6 wakati halikupi chochote kile cha maana! Kama ni koo, baada ya hiyo miezi 6, ndo kwanza linaanza kukuletea tumayai 10 kwa kila mtago! Hata ukisema uwe unayatoa kila anapotaga, labda amezidi sana, tumayai 20 kabla hajakususia kiota chako!

Fuga kuku wa kienyeji kama mboga lakini kibiashara, NOT ECONOMICAL compared to hawa wa kisasa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom