Tunauza Mashuka ya Cotton kwa bei nafuu

Tunauza Mashuka ya Cotton kwa bei nafuu

sisterseven

Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
49
Reaction score
36
Pata mashuka ya cotton nzito kwa bei ya jumla na rejareja.

Mashuka yanakuwa mawili king size futi 7 kwa 8 yanafit godoro lolote. na foronya 4.
Kuna 7/8 ina shuka 2 foronya 4 sh 55000 pure cotton Kuna 8/8 ina shuka 2 foronya 4 sh 70000 pure cotton. Kuna 8/8 ina shuka 2 foronya 2 sh 55000 pure cotton kuna 7/8 ina shuka 2 foronya 4 sh 55000 pure cotton

Ukiweka order ya set kuanzia 5 unapata punguzo Tena kubwa tu

Hizi shuka ndio zinauzwa 80,000 hadi 90,000 mtaani

Chukua kwa jumla jikomboe kiuchumi
Karibuni Mwanza unaletewa sehemu yoyote pia mikoani tunatuma

Mawasiliano WhatsApp au piga 0788982922
Popote unatumiwa

IMG_20191021_090716_4.jpeg
IMG_20191101_083545_915.jpeg
IMG-20191014-WA0035.jpeg
IMG-20191014-WA0008.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20191014-140022~2.jpeg
    Screenshot_20191014-140022~2.jpeg
    119.7 KB · Views: 42
Kumbe ukinunua shuka unajikomboa kiuchumi nilikuwa sijui.
 
in sha Allah
Nikifanikiwa kuja Mwanza
Tutafanya biashara Chief

Barikiwa sana
 
Mkuu mbona Tangazo unalirudia rudia ,yaani page 3 umecheza post zako ! Weka tangazo na picha kadhaa then subiri wateja waje!
Una bei nzuri sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom