Tunauza magari kwa bei nafuu sana

Tunauza magari kwa bei nafuu sana

Joined
Nov 1, 2014
Posts
15
Reaction score
0
piga simu namba 0768359292
 

Attachments

  • TANGAZO JIPYA.jpg
    TANGAZO JIPYA.jpg
    26.5 KB · Views: 735
Nahitaji rav4 2005 black nipe bei
 
huu uhuni sasa hivi hatuutaki.
mambo ya kutuletea umachinga kitu cha5000 anaanzia 20000 ili mkipunguziana ifike 10000 yamepitwa na wakati.
weka price tags kabisa ili tusisumbuane
 
watanzania bado sana katika biashara, sijawahi kuona wenzetu wakifanya biashara kwa style hii ya kipekee.

Mkuu umeona mbali sana,maana mie kufungua tu nikastuka,nikasema hivi kweli ndio kizazi cha ushindani hiki.
subiri majibu yake uone yatakavyokuja hovyo kwa alivyoulizwa
 
toa maelezo yanayotosheleza ikiwezekana na website ili mtu aone na aulize kulingana na anachokiona
 
piga simu namba 0768359292

Jaribu kuiga wenzetu wanavyofanya biashara, naamini bila kuiga hatuwezi kuendelea, taarifa yako inatuacha na maswali mengi sana,

kwa ufupi weka picha ya kila gari na bei yake ufanye biashara, wagitaji ni wengi ila haujakidhi haja yao.
weka picha, weka model ya gari, weka bei anayezeza anunue asieweza apite, anaweza kuwa balozi mzuri kwa ambaye hajaona.

asante.
 
binafsi nawasifu sana wauza sabuni na dawa za meno ambao huingia kwenye mabasi ya mikoani na kunadi biashara zao. wanapoingia watu wengi huwapuuza, lakini the way wanavyojieleza na zile mbwembwe zao watu wanashawishika na kuanza kununua bidhaa zao ingawa wala hawakupanga kununua. muuza dawa ya meno anaweza kujinadi lakini muuza magari anashindwa!
 
Mkuu umeona mbali sana,maana mie kufungua tu nikastuka,nikasema hivi kweli ndio kizazi cha ushindani hiki.
subiri majibu yake uone yatakavyokuja hovyo kwa alivyoulizwa

Nakwambia mtu anakwambia upige for more details, mbona kwenye mitandao ya wajapan mtu unaagiza gari kwakuwa details zote za gari umewekewa na picha za kutosha.
Picha na details za gari ndizo zitakazo nishawishi ninunue hata kama sikuwa na mpango lakini ninaweza vutika.
 
binafsi nawasifu sana wauza sabuni na dawa za meno ambao huingia kwenye mabasi ya mikoani na kunadi biashara zao. wanapoingia watu wengi huwapuuza, lakini the way wanavyojieleza na zile mbwembwe zao watu wanashawishika na kuanza kununua bidhaa zao ingawa wala hawakupanga kununua. muuza dawa ya meno anaweza kujinadi lakini muuza magari anashindwa!

Umeona Mkuu? Bora hata wauza dawa za meno za aloe vera waje watangaze humu kuliko huyu mburura! Katupia kitu tangu saa 6 usiku hajaonekana tena!
 
Poa ntakutafuta kwa no yako ngoja nijipange kikubwa no uwe inakuwa hewan mda wote sio wengine mnaweka matangazo hlf kwa hewa hampatikan
 
Natafuta gari vw. Betle ya laki mbili iwe inatembea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom